Hata kama tumefungwa ila chenga tumewala....😂😂Mkuu unahesabu chenga watu wanaweka
Mmepekenyuliwa haaa haaaaMpira uishe tu dah😏
Ngoja tukupe space kwanzaKwishaaaa!!! Makolo yanaruruka sasa..
Mtaalam wa kugawa Tako labda
Aisee 😪😪Kwa mpira waliocheza Yanga wataleta maneno tu ila Mungu alitupa wanadamu dhamiri. Hii inasema ukweli kila siku. Dhamiri zao zunawasuta ila kwa nje watawacheka.
Sasa uone una machoWanacheza nn hapo? Mbna mie sioni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata man city uefa Alkua hivi hivi,alipozoea Na kombe akalibeba. Apa mchawi uzoefu TU.Mkuu unahesabu chenga watu wanaweka
Thalatha bin sifur...Sote tuseme THALATHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaweza wakapiga ile timu ya Ghana nje ndani,...ila sidhani kama wataweza kuwafunga waarabu wote Dar labda sana sana draw au kupigwa,na waarabu pia watawapiga Wa-Ghana. Uwezekano wa Yanga kwenda robo fainali ni mdogoMwananchi asipoangalia anaweza akaondoka na point 2 tu kwenye hili kundi lake
Sawa bana wazee wa 5G zamu yenu kutamba😔Mmepekenyuliwa haaa haaaa