Nye nye nye...! Pakti ya ndomu imeisha.TUKUTANE BAADA YA GAME KUISHA. HAIJAISHA HADI IISHE
Uyu kipa wenu ni takataka kbsMwisho wa Metacha kukaa golini ni leo!
Jinga kabisa.
Sisi Utopolo hatuna nyumbani wala ugenini..😂😂Utopolo kwisha tambo zao😁😁😁
Cha 3 kimeingia wakati sahihi, na kuondoka zenuSawa bana wazee wa 5G zamu yenu kutamba😔
Watarudi Dar kwa mafunguUtopolo kwisha tambo zao[emoji16][emoji16][emoji16]
Wameniudhi sana, timu yenyewe Mbayaa😀BELOUZIDAD Mungu atawalipa
financial services wa kwanza huyu sio mnafiki. Dhamira itawasuta tu kuwa jamaa wametandaza soka.Poleni sana watani. Hiyo ndiyo soka. Kuna wakati huwa inakuwa na matokeo ya kikatili sana. Mnajitahidi kutandaza kabumbu safi lakini mwisho wa siku mnaishia kufungwa.....
Timu lenyewe bayaaCha 3 kimeingia wakati sahihi, na kuondoka zenu
Goli 3 kwa Kiarabu tunaita Thalatha. Badala ya kujiandaa na CAFCC nyie mnahangaika na mabango. PumbavuSawa bana wazee wa 5G zamu yenu kutamba😔
Poleee, mpunguze manenoAisee 😪😪
Kosa lake nini?! Tactically, CRB walikuwa Vizuri mno. Uzoefu umewagharimu Yanga.Mwisho wa Metacha kukaa golini ni leo!
Jinga kabisa.
Na vichwa chini😁😁
Na hakuna bahasha huko 😂😂Hii ndo champions league, hamna marumo huku [emoji23][emoji23]
Atleast huyu ameona juhudi zetu, kabumbu safi ila tu bahati mbaya inatokea na siku hazifananifinancial services wa kwanza huyu sio mnafiki. Dhamira itawasuta tu kuwa jamaa wametandaza soka.