Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Wamepigwa🤣🤣🤣Piga utoo pigaa hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepigwa🤣🤣🤣Piga utoo pigaa hao
Na wanaweza kumpiga tena huku huku Dar,kipindi cha pili waarabu wamepaki basi na wamefunga ,Dar mwanzo mwisho itakuwa kupaki basi na counterGoli 3 kwa Kiarabu tunaita Thalatha. Badala ya kujiandaa na CAFCC nyie mnahangaika na mabango. Pumbavu
Waujumlishe wawe juu kwa goli mbili zaidi.Na mkomae na huo mkono wa nyani Uto wahed 😁 😁
Hahaa sasa nani mke hapo au unamaanisha nini mkuu?😀Nimeamini.. kutombwa atombwe mke wa mwenzio sio Wako..
Msiba unauma sana ukiwa wako sio wa JIRANI.
JAMANI nani yupo kitambaa ya Tabata nakuja now
Wachonge na bango la pili 😂😂Waujumlishe wawe juu kwa goli mbili zaidi.
Kuna utofauti mkubwa sana kati Champion League na Confederation
Ukuta umeenda na mafuriko,warudi tu shirikisho huku kwa wakubwa hawawexiHii timu ndio tuliambiwa ina ukuta mgumu
Tangu tar 5 nov leo ndio naona wanasimba wamefufuka.
Hayo ndiyo matokeo ya mpira. Yanga amepigwa na Ihefu mwaka huu na tunachukulia kawaida tu.
Ila sio mbaya maana watani wetu mmepata faraja baada ya yanga kufungwa
Tutamalizia hasira kwenu, hazitakua 5 tena itakua ni 10, mna maneno sana nyie😀Kalale nazo 😇🤪