Kasunguranyama
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 499
- 368
Usitusumbue bana huu muda wa kulala we Ahmed AllyLeo ndo leo majira ya saa 4 usiku Yanga sc watakuwa wanacheza mechi yao ya kwanza katika ligi ya mabingwa Afrika Mungu ibariki Yanga SC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitusumbue bana huu muda wa kulala we Ahmed AllyLeo ndo leo majira ya saa 4 usiku Yanga sc watakuwa wanacheza mechi yao ya kwanza katika ligi ya mabingwa Afrika Mungu ibariki Yanga SC.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kitenesi kilikuwa kinapiga piga makelele sasa kimekutana na runguView attachment 2823902
Cheka taratibu usijifanye umefurahi kunizidi mimi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wamecheza vizuri sana ni ugeni tu hivyo wapongezwe.Kabla ya mechi kuisha mashabiki wa utopolo walikuwa wakisema "Yanga atashinda tu hii game"
. 90 zimeisha kwa kupigwa 3 Sasa wameanza kusema kwa Mkapa watapimpiga mkono
Mkuu tukutane kwa Mkapa jioni.Furaha yangu sio mida wote inaamuliwa kwa mimi kushinda.
Hata nikimuona Utopolo kafungwa hiyo kwangu ni ina maana kubwa sana yani inanitosha kuifanya siku yangu iwe nzuri .
Nilikuwa sina mpango wa kwenda uwanjani kesho ila nahisi kama kuna stimu kutoka uarabuni zimenijia
Aucho leo kacheza,na Pacome kidogoWapi gamondi?
Wapi max nzengeli?
Wapi pakua zoazoa?
Wapi Aziza kei?
Wapi clement mchizi?
Wapi timu yenye kikosi kipana?
Hongereni kwa kufa kiume, goli 3-0 siyo nyingi.
Kama vipi fukuzeni huyo kocha kimeo, arudi kwao ajentina akauze madafu
Angalia usi go foreverKuanzia mchana nilikuwa kijiwe na washikaji,tulikuwa tunawaza tu watafungwaje,ni furaha sana nalala kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi leo silali kabisa kama kuna mlinzi humu ndani anipe address nimfanyie shift ya bila malipo yeyote.Kuanzia mchana nilikuwa kijiwe na washikaji,tulikuwa tunawaza tu watafungwaje,ni furaha sana nalala kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app
NipoNimeamini.. kutombwa atombwe mke wa mwenzio sio Wako..
Msiba unauma sana ukiwa wako sio wa JIRANI.
JAMANI nani yupo kitambaa ya Tabata nakuja now
Mechi itakuwa lini?Kipigo cha 3-0 ugenini halafu nikicheki hapa naona Mechi inayofuata ni dhidi ya Al Ahly View attachment 2823919
Tulia dawa iingie bhna 🤣🤣🤣😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Vp bado manii za mwarabu zinakuwashawasha mwajuma ndala ndefuNdio umeandika nini Sele?