FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Ila yanga hawajafanya mazoezi tangu walipofika huko aljeria kwa sababu vifaa vyao vilirudi tena tanzania vilisahaulika basi ndo ivoo tena embu ngoja tuone inaweza mechi ikarudiwa hii
Irudiweee? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Najua wale wazee wa kujifariji walio susa kununua ticket mechi ya leo naona wamepata cha kuongea.

Wale mashabiki ambao kwa wanatizama sana magoli, kuliko kuuchambua mpira wataanza lawama (mashabiki oya oya).

Ila Yanga ipo vizuri,leo tuliingia kwa style ya kuddefense kwa kumiliki mpira.Kweli mpira tumemiliki, ila tukapoteza umakini wa mipira ya kaunta ndio iliyo imaliza Yanga. Ila kiujumla bado tupo vizuri sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utasema tyuuuh
 
Oya wanangu mi sina haja nae,mkitaka kupiga pigeni tu,wala sina haja naeee.
3,3,3,3,3,3,3,3
 

Attachments

  • Screenshot_20231125_002402_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20231125_002402_Samsung Internet.jpg
    114.5 KB · Views: 3
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom