Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili kule ni wawili tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]Yamepigwa yanajifariji kwamba yamecheza vizuri halafu huku huwa yanaicheka simba kuishia robo. Kweli utopolo ni utopolo tu.
Hata shirikisho yanga walianza kwa kufungwa ugenini,mechi zilizofuata tukawa tunatamani yanga apoteze,lakini mpaka final ndo akapotezaKiko wapiiii
Sawa kwa hiyo tucket hujanunua?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utasema tyuuuh
Hapana, naongelea muda wa mechi ya Yanga inayofuata.Muda ukimaanisha Mudathiri?
Kama ni huyo, yupo naskia mkataba wake bado haujaisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nzengeli gooooooooaaaal dk 100
Aziza goooooooooooaaaal dk 120
Pacome goooooooooaaal dk 140
Mziza goooooooooaaal dk 160
Musonda goooooooaal dk 180
Ft Belouzdad 3 Vyura 5
Kwahisani ya mshika kibendera anayeruhusu magoli ya offside.
Sio powa🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kule ni kwa wakubwa siyo Shirikisho 3:0
Hakuna marumo gallants humo.Hata shirikisho yanga walianza kwa kufungwa ugenini,mechi zilizofuata tukawa tunatamani yanga apoteze,lakini mpaka final ndo akapoteza
Wiki ijayo, Ali ahly nao wanakuja kupiga kwenye mshono. Watu lazima wachanganyikiwe.Irudiweee? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelii.Timu za Kariakoo ni kuna shetani huwa anawapitia kwa zamu zamu,ngoja wapigwe na waarabu wote fukuto litahamia kwao halafu simba inakuwa shwari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ticket ninayooo [emoji23][emoji23][emoji23]Sawa kwa hiyo tucket hujanunua?
Twazungumzia mechi ya leo shehe wanguHata shirikisho yanga walianza kwa kufungwa ugenini,mechi zilizofuata tukawa tunatamani yanga apoteze,lakini mpaka final ndo akapoteza
Watasema tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wiki ijayo, Ali ahly nao wanakuja kupiga kwenye mshono. Watu lazima wachanganyikiwe.
Kwamba makosa yaliyotokea leo wataenda kujirekebisha kwenye mechi ya Al Ahly?Hapana, naongelea muda wa mechi ya Yanga inayofuata.
Furaha kono la nyani bado ipo pale pale msijifiche kwenye furaha yenu ya leo 😂Kweli nimeamini furaha ya masikini haidumu