FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

KWELI SIMBA TULIFUNGWA 5-1.
Ila nina furaha mwana wane mwarabu katupia 3.kweli malipo hapahapa.
Sisi pipooo tutakutanaa.
20231123_230940.jpg
 
Hata shirikisho yanga walianza kwa kufungwa ugenini,mechi zilizofuata tukawa tunatamani yanga apoteze,lakini mpaka final ndo akapoteza
Hii ni champion league na siyo shirikisho.
Mna miaka 25 ndiyo meweza kuingia makundi ya Champion League. Usichukulie kirahisi ndugu halafu hapo kwenye makundi wanatakiwa wapite timu 2 tu.
Usikariri kama itakavyokuwa shirikisho, angalia mpira mliocheza.
Mecheza vizuri sana ila matokeo yake ni magoli tu.
 
Back
Top Bottom