FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Kabla ya mechi kuisha mashabiki wa utopolo walikuwa wakisema "Yanga atashinda tu hii game"

. 90 zimeisha kwa kupigwa 3 Sasa wameanza kusema kwa Mkapa watapimpiga mkono
 
Najua wale wazee wa kujifariji walio susa kununua ticket mechi ya leo naona wamepata cha kuongea.

Wale mashabiki ambao kwa wanatizama sana magoli, kuliko kuuchambua mpira wataanza lawama (mashabiki oya oya).

Ila Yanga ipo vizuri,leo tuliingia kwa style ya kuddefense kwa kumiliki mpira.Kweli mpira tumemiliki, ila tukapoteza umakini wa mipira ya kaunta ndio iliyo imaliza Yanga. Ila kiujumla bado tupo vizuri sana.
 
Furaha yangu sio muda wote inaamuliwa kwa mimi kushinda.

Hata nikimuona Utopolo kafungwa hiyo kwangu ni ina maana kubwa sana yani inanitosha kuifanya siku yangu iwe nzuri .

Nilikuwa sina mpango wa kwenda uwanjani kesho ila nahisi kama kuna stimu kutoka uarabuni zimenijia
 
Tangu tar 5 nov leo ndio naona wanasimba wamefufuka.

Hayo ndiyo matokeo ya mpira. Yanga amepigwa na Ihefu mwaka huu na tunachukulia kawaida tu.

Ila sio mbaya maana watani wetu mmepata faraja baada ya yanga kufungwa
Si mlitamba kuwa nyie mtaua waarabu leo, kwa nini tusicheke kwa kipondo cha mbwa mwizi mlichopewa na huyo mnyonge wenu 😂😂😂
 
Wapi gamondi?
Wapi max nzengeli?
Wapi pakua zoazoa?
Wapi Aziza kei?
Wapi clement mchizi?
Wapi timu yenye kikosi kipana?
Hongereni kwa kufa kiume, goli 3-0 siyo nyingi.
Kama vipi fukuzeni huyo kocha kimeo, arudi kwao ajentina akauze madafu
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Furaha yangu sio mida wote inaamuliwa kwa mimi kushinda.

Hata nikimuona Utopolo kafungwa hiyo kwangu ni ina maana kubwa sana yani inanitosha kuifanya siku yangu iwe nzuri .

Nilikuwa sina mpango wa kwenda uwanjani kesho ila nahisi kama kuna stimu kutoka uarabuni zimenijia
Kuanzia mchana nilikuwa kijiwe na washikaji,tulikuwa tunawaza tu watafungwaje,ni furaha sana nalala kwa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom