Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Au sioDah😳😳 ila yanarudi yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sioDah😳😳 ila yanarudi yote
Toa Musonda ingiza Mzinze, Kwa kipa kiukweli kumkosa Diarra imekuwa shidaYanga wafanye Nini kipindi Cha Pili!
huyu anapigwaNa bado Al Ahly naye aje achomeke chake! Daima Mbele Mwiko Nyuma!
Muda wetu mnaujuaaaa vizuriiii jizimeni data tu!!😏Ndyoo muda badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tokeo?yanga anatawala kama yupo chamanzi
Hivi kweli waarabu wanavyocheza vile,pasi wanafikisha,speed na kutafuta position nzuri ni timu mbovu? Yanga wamechangayikiwa kweliTim mbovu..? Subiri watu wanabadiri kondom huko wanarudi
Hakuna ukatili wowote!! Mpira wa kisasa ni akili kuliko pilika pilika!!Mkuu kwa pira hili la Yanga wasipodroo au kushinda ni uthibitisho kuwa mpira ni mchezo wa kikatili sana.
Vimbaaaaaaaaaaaaaa mwananch vimbaaaaaaaaaaaaaaTuna Imani na yangaaaa[emoji1739][emoji172][emoji172]!!
Ngoja tuonee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aki Pole basi.[emoji23][emoji23][emoji23]
dada anza kunionea huruma Mimi kwanza, nimekaa na wana hapa asilimia kubwa ni wenzio..!!
Hapa nacheka kwa machungu hatari..!!
kwamba ulifungwa kwa offside hahahahahahaZile offside za juzi zilizofanya Simba akafungwa leo kibendera haziruhusu
Shida kuifunga Simba mmejikuta mko “cloud nine”😀Leo ndo leo majira ya saa 4 usiku Yanga sc watakuwa wanacheza mechi yao ya kwanza katika ligi ya mabingwa Afrika Mungu ibariki Yanga sc
View attachment 2822882
Anarudia makosa yale yale aliyofanya kwa Ihefuwalijua wangetoa Droo...
Nimesave hii comment.Acha kunywa mvinyo wa banana huku ukiangalia mechi utawapa Yanga ushindi wa kibanda umiza bwashee 😂 😂
Angalau tutatulia aisee, maana dahKaroho kanauma basi hapo wanasimba mnachekeleaa sana, ila tunarudisha😀