cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui nacheka nnMuda wa waarabu kujilaza kama wamekufa haujafika bado ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui nacheka nnMuda wa waarabu kujilaza kama wamekufa haujafika bado ?
Watulie tu😁Yanga wafanye Nini kipindi Cha Pili!
😂😂😂
Zulfa vipi haujambo?Ukitoa uganga na bahasha za GSM yanga ni kama zing zong fc ya kibaha mwendapole
Lazima wachubukeKumbukeni Hao ni Belouizdad wanao wapapasa matako, Najaribu kufikiria mkikutana na Al ahly kitawakuta kitu gani
Pengo la nani limetuangusha? Diara? Mwamnyeto? Au shida iko wapi?
Wajibu wenye akili timamu tu, vichaa hii sio sehemu yenu.
Ngoja tuwaone kipindi cha pili. Binafsi naona wanacheza vizuri lakini ndo hivyo tena ukatili wa soka.Hakuna ukatili wowote!! Mpira wa kisasa ni akili kuliko pilika pilika!!
Ameeeeeennnaa!🤠[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2nd half mnarudisha na kushinda juu.
Hawaamin macho yao[emoji1783][emoji1783]!
Hatutishikii Muda badooo[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]!
Eti kila kitu mpo juu ,Kwa hiyo magoli hayapo kwenye takwimu? We kweli uto.mpira unaumiza
kitakwimu kila kitu kipo juu kama ngao ya jamii ila timu mbovu inaondoka na matokeo
Shouzzz mbna inafahamika yanga ya motoo, ushindi ni wenuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda wetu mnaujuaaaa vizuriiii jizimeni data tu!![emoji57]
Sasso ni jamii ya kuku mwenye rangi nyingi.😂Mechi itaisha draw ya 1 kwa 1.
kwamba ulifungwa kwa offside hahahahahaha
Na uondoke kweli....Siku kadhaa zilizopita nilianzisha uzi nikitabiri kwamba kwenye mechi ya Cr belouzdad Yanga watashinda goli mbili kwa sifuri na kwamba magoli yote ya Yanga yatafungwa na Mzize kipindi cha kwanza.
Nilikuwa napeleka ujumbe kwa benchi la ufundi la Yanga kwamba kwenye mechi ya leo kinyota lazima mzize aanze na lazima atangulie kukanyaga uwanja na half time awe wa kwanza kutoka nje ya uwanja.
Mpaka now:
1.Cr belouzdad wanaongoza kwa goli moja.
2. Mzize hayupo dimbani.
3. Mbaya zaidi golini kakaa metacha.
Utabiri wangu tayari umesha haribiwa. Na kama nilivyo toa ahadi hapo awali kwamba nitajitoa jf endapo utabiri wangu hautatimia kwa asilimia mia kama nilivyo tabiri.
Hata kama Yanga watashinda mechi hii.
Hata kama Mzize atafunga but still bado utabiri wangu hautakuwa umetimia kwa asilimia mia.
Goodbye wana Jf.
It was nice to meet you guys.
Nimekaa jf kwa miaka 11 tangu 2012.
Goodnight and all the best
Huwa wanasoma mchezo ukielemea hawajitokezi😂😂😂
Halafu kweli hawa dada zangu (kumtoa Tate), siwaoni kabisa Leo..!
[emoji1][emoji1][emoji1]Walidhani haya mambo ni rahisi rahisi tu...Tuwavute hata kwa gredaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Pengo hili hapaPengo la nani limetuangusha? Diara? Mwamnyeto? Au shida iko wapi?
Wajibu wenye akili timamu tu, vichaa hii sio sehemu yenu.