Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Pumbavu kabisa hawa asee. Halafu wametia roho mbaya wanaenda champions, hakuna la maana watakalofanya huko kwa utoto kama huuLambalamba wazembe mno, hovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu kabisa hawa asee. Halafu wametia roho mbaya wanaenda champions, hakuna la maana watakalofanya huko kwa utoto kama huuLambalamba wazembe mno, hovyo kabisa
Daah! umeuaaKaoge kwenye acid
samiaAzam asiposhinda niitwe samia
Yanga ni Bingwa wa KihistoriaMayele anasema alitupiwa pia
🤣🤣Kaoge kwenye acid
Sema Azam maboya...Kipa bora Afrika, huwezi kukosa kombe akiwa kikosini.
Meelewa sasa ninavyosemaga Diarra pekee ndiye atakayeniuma akiondoka Yanga?
View attachment 3006990
Shida walilambishwa machungwa mapemaNa kibaya zaidi ukilamba na ice cream ndiyo pilipili inazidi kuwasha 🤣
Hakika DadaKipa bora Afrika, huwezi kukosa kombe akiwa kikosini.
Mmeelewa sasa ninavyosemaga Diarra pekee ndiye atakayeniuma akiondoka Yanga?
View attachment 3006990
Tugange yajayoYanga ni Bingwa wa Kihistoria
Samia Mwamposa bin KoloAzam asiposhinda niitwe samia
Wacha nilale nikuwe 😂😂Shida walilambishwa machungwa mapema