Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Duh π€£ππLolo ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh π€£ππLolo ππ
Yanga (FC) Football ClubHongera Yanga FC
Polee sanaYan Yanga mnanifanya niikumbuke ile Pressure kubwa iliyonitoaga chozi ya world cup 2010 πππ
Asamoah Gyan jamani.
Atatoka na wewe muda si mrefu maana hakuna mwanaume chini ya jua anayeona wivu kwa mwanamke kuliwa na mwanaume mwenzake.Kama kweli Hersi anatoka na Hamisa nitamdharau sana
Wakat nyie mnateseka hiv, mimi nishajilalia kitaaambo nasubiri updates tu JF.penalti za mwisho hata sikutazama nilikimbilia washroom kabisa maana machozi yalianza kunilengalenga halafu nilikuwa nimekaa na makolo wanashangilia penalti za Azam..!!
Nimekuja kushangilia baada ya kutoka sasa watu wameshamaliza..!π
πππMbona tumeshinda sasaSikubaliani
Subiri napo mlambishwe ice cream
Niache basi kwanza hata ninywe chai π€£π€£πππMbona tumeshinda sasa
Polee sana ππππππNiache basi kwanza hata ninywe chai π€£π€£
Achana na chai, nakuletea halua, kashata na kahawa...Niache basi kwanza hata ninywe chai π€£π€£
Nilishangaa sana kwani alikuwa anawaza Nini!?Huyu dogo jana hadi medali kasusa kuja kuchukua ππ€£π€£π
Huyu dogo na rafiki yake Mayele wanahitaji msaada wa kisaikolojia. Kinyume na hapo watateswa na mafanikio ya Yanga maisha yao yote.Wapi feisal salum π
Wapi friends of feisal salum.
This is Yanga bhana ππππView attachment 3007029
Samia mambo! Vipi sasa! Naruhusiwa kuleta posa?Azam asiposhinda niitwe samia
Mimi baada tu ya zile penati mbili za mwanzo, nikaona kabisa hakuna tena matumaini ya ushindi! Kiukweli jana ilikuwa ni siku ngumu sana kwa mashabiki wa Young AfricansJana ndo nimegundua kumbe presha ninayo
Yanga ilitaka kunipeleka hospitali
Yanga oyeee
Bado utoto umemjaa yani goli la mikwaju ya penati anafanya vile? Sijui angefunga la kawaida ingekuwaje.Huyu dogo na rafiki yake Mayele wanahitaji msaada wa kisaikolojia. Kinyume na hapo watateswa na mafanikio ya Yanga maisha yao yote.
Nilishangaa sana kwa hiki kitendo chake baada ya kufunga ile penati. Yaani ana utoto mwingi mpaka basi. Halafu anaoneka siyo muungwana.
Leo nimepiga Sala kinoma πππMwisho wa msimu Mungu ni mwema
Yanga ππ
Real Madrid ππ
Man Unite
Mm sioni kama alistahili kuwa man of the match alistahili kuwa Mohammed mustafa au goalkeeper huyu Tim yake ameshindwa kuipa ubingwa aiseeeeeBacca Mchezaji bora wa mechi
Aibu alisahau kuwa haiishi mpaka iishe.Huyu dogo jana hadi medali kasusa kuja kuchukua ππ€£π€£π
Acha iniueHapo kwa man u mmmh