Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo anatakiwa apewe ushauri nasaha kama ana ndoto za kuwa mchezaji mkubwa. Ila kama akili yake inawaza taarab na vijembe, basi aendelew tu na huo upuuzi wake.Bado utoto umemjaa yani goli la mikwaju ya penati anafanya vile? Sijui angefunga la kawaida ingekuwaje.
Uko sahihi.. Man of the match alistahili yule kipa. Sijajua walizangatia vigezo vipiHapo kwa man u mmmh
Mm sioni kama alistahili kuwa man of the match alistahili kuwa Mohammed mustafa au goalkeeper huyu Tim yake ameshindwa kuipa ubingwa aiseeeee
Yule ni mshambaNilishangaa sana kwani alikuwa anawaza Nini!?
Naunga mkono hojaAibu alisahau kuwa haiishi mpaka iishe.
kweli aliewaita utopolo hakukoseaRoho imekuuma sana wewe shabiki wa msimbazi aka shirikisho sc
Hata rage alikuwa sahihi kuwaiteni lile jina ndio maana mnatimu mbovu sanakweli aliewaita utopolo hakukosea
Nasikia kuwa ni yeye ndiye aliyeomba kuondoka.Sijui Yanga wanatoa wapi kiburi cha kumuacha Lomalisa mchezaji kama yule wanamuacha?
WoteTaja wachezaji wa Simba wazuri kuwazidi wa Yanga,
𝐌𝐏𝐈𝐑𝐀 𝐍𝐈 𝐇𝐈𝐒𝐈𝐀penalti za mwisho hata sikutazama nilikimbilia washroom kabisa maana machozi yalianza kunilengalenga halafu nilikuwa nimekaa na makolo wanashangilia penalti za Azam..!!
Nimekuja kushangilia baada ya kutoka sasa watu wameshamaliza..![emoji119]
Mwenyewe nashangaaSijui Yanga wanatoa wapi kiburi cha kumuacha Lomalisa mchezaji kama yule wanamuacha?
Inasemekanq ni ishu ya contract durationNasikia kuwa ni yeye ndiye aliyeomba kuondoka.
Kipa alitoka kwenye mstari kabla ya penalti kupigwaMbona kama kipa wa Azam katokea?
Azam ni kama mademu wa zamani, anakuchomesha mahindi zaidi ya miezi nane lakini wisho wa siku anakutunuku appleDah! Hili kombe tumelichukua kwa mbinde sana. Binafsi kwa kweli nilishakubali matokeo, baada tu ya kuwa kosa ndani ya zile dakika 120.
MashaAllah!!!Kombe letu[emoji2]View attachment 3007418
Kuna Boka wa FC Lupopo amewavuruga kweli viongozi. Unaambiwa ni mtu na nusu.Sijui Yanga wanatoa wapi kiburi cha kumuacha Lomalisa mchezaji kama yule wanamuacha?
Jinga sana wewe...Kombe letu[emoji2]View attachment 3007418