Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
NAKAZIAAlipata medali, japo wadau walisema...
Medali (🏅) bila kombe ni sawa na hirizi tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAAlipata medali, japo wadau walisema...
Medali (🏅) bila kombe ni sawa na hirizi tu...
Mechi iliisha sare ulipatikana ushindi wa mezani.Uwezo wao uliishia pale
Unachungulia kwenye dirisha la jirani!? Au unasikiliza Sibuka fm?Kibu mibange anataka kupigana. Kibendera kaamua.
Sisi tunataka kombe sio mshindi wa piliHaina tija kwa sababu nafasi hiyo hamjapata.
Ushindi ni ushindiMechi iliisha sare ulipatikana ushindi wa mezani.
Mmezoea kuvalishana hirizi hapo bunjuAlipata medali, japo wadau walisema...
Medali (🏅) bila kombe ni sawa na hirizi tu...
Uwezo wao uliishia pale
Historia inamkumbuka Bingwa tuAlibeba medali ya mshindi wa pili.
Mtapewa na Mo msihofu.Sisi tunataka kombe sio mshindi wa pili
Siyo Tabora United?Hii timu haina tofauti na Mashujaa au Singida BS
Moderator kagoma kafanya update😂Ahoua anatupia goli zuri sana dakika ya 34
Bingwa hakucheza peke yake fainalHistoria inamkumbuka Bingwa tu
Wote ndio hao hao tu. Hakuna tofauti mnalingana kiuwezo au hamjaachana pakubwaSiyo Tabora United?
BaelezeeBahati nzuri hawakuwasha moto uwanjani
Sisi ndo tuna deni la kulipa au ni nyie ndo mlikuwa mnapambana kulipa deni la Simba la mwaka 1993? Vilaza wa Historia nyie.Uto alifika fainal ilo kombe la wehu mna deni la kulipa
Delightful from Ateba..