FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

Kijana ushaambiwa ile top cream ya mazembe yote msimu huu haipo imeondoka na ndicho kinachowacost, hapa hatuongelei hata ile mazembe ya msimu uliopita iliyofika nusu fainali cafcl, yani kwa kikosi hiki cha mazembe kinachofungwa kwao unajisifu una timu nzuri huyu ndio mazembe unayemjua wewe kweli hebu kuwa serious basi
Nyie ni amueleweki ni sawa na pombe ya ngomani tu, Kila timu itayocheza na yanga kwa sasa itaonekana mbovu na kabla ya kucheza nayo itaonekana imara kwakuwa mnabadilisha gia angani Kila mambo yenu yakienda mlama!
 
Mpira una maajabu na ukatili sana mkuu kaa mkao wa kula
Naelewa ila sio hadi maajabu yatokee wakati kuna timu zinakuja zikiwa na uhakika. Kusanya point nyingi kadiri inavyowezekana, sio point 4 unawaza kusonga mbele.
 
Nyie ni amueleweki ni sawa na pombe ya ngomani tu, Kila timu itayocheza na yanga kwa sasa itaonekana mbovu na kabla ya kucheza nayo itaonekana imara kwakuwa mnabadilisha gia angani Kila mambo yenu yakienda mlama!
Wewe acha kujitoa ufahamu toka msimu unaanza watu walishasema mapema kuwa wachezaji wote wazuri wa tp mazembe waliuzwa kisha timu ndio ikakutana na ban ya kusajili wachezaji wengine, hadi ikabidi wachukue wachezaji toka kwenye academy yao na kuna kipa wao wakamtoa acheze kama striker ili walau kuinusuru timu, mngekutana na tp mazembe ya msimu uliopita iliyofika nusu fainali cafcl nawahakikishia mngemaliza hilo kundi mkiwa mnaburuza mkia
 
Wewe acha kujitoa ufahamu toka msimu unaanza watu walishasema mapema kuwa wachezaji wote wazuri wa tp mazembe waliuzwa kisha timu ndio ikakutana na ban ya kusajili wachezaji wengine, hadi ikabidi wachukue wachezaji toka kwenye academy yao na kuna kipa wao wakamtoa acheze kama striker ili walau kuinusuru timu, mngekutana na tp mazembe ya msimu uliopita iliyofika nusu fainali cafcl nawahakikishia mngemaliza hilo kundi mkiwa mnaburuza mkia
Ayo ni mawazo yako atukuzuii kuwaza ivyo timu nyingi zitaendelea kuchapika na mtaendelea na wimbo wenu huo huo wa kuokoteza visababu uchwara
 
Ayo ni mawazo yako atukuzuii kuwaza ivyo timu nyingi zitaendelea kuchapika na mtaendelea na wimbo wenu huo huo wa kuokoteza visababu uchwara
Yani wachezaji wote wazuri kuondoka tp mazembe unasema ni mawazo yangu, asee hiki kiwango chenu cha kujifariji siyo cha sayari hii, sawa ngoja tuone kwa hao wawili waliokutandika mara ya kwanza
 
Yani wachezaji wote wazuri kuondoka tp mazembe unasema ni mawazo yangu, asee hiki kiwango chenu cha kujifariji siyo cha sayari hii, sawa ngoja tuone kwa hao wawili waliokutandika mara ya kwanza
Hivi wewe kwa akili yako ndogo tu yanga hii ya sasa hivi unailinganisha na yanga Ile iliyofungwa mechi za kwanza na Al hilal na Mc alger kule Algeria? Ujaona tofauti yoyote iliyopo sasa na kipindi kile imepitia changamoto ya kushuka kiwango? Ok na hizo timu unazozipigia chapuo zilizomfunga yanga round ya kwanza zikichapwa utakuja na lipi jingine?
 
Hivi wewe kwa akili yako ndogo tu yanga hii ya sasa hivi unailinganisha na yanga Ile iliyofungwa mechi za kwanza na Al hilal na Mc alger kule Algeria? Ujaona tofauti yoyote iliyopo sasa na kipindi kile imepitia changamoto ya kushuka kiwango? Ok na hizo timu unazozipigia chapuo zilizomfunga yanga round ya kwanza zikichapwa utakuja na lipi jingine?
Sasa yanga hii na ile iliyofungwa miezi michache iliyopita ina tofauti gani kwani wachezaje wamebadilika si ni wale wale, au kisa mlihonga hizi timu za nbcpl mlizozifunga hivi karibuni kisha mkapangiwa vikosi b wachezaji hawashambulii wala hawakabi hadi kipa wa dodoma jiji akakiri hakuwa na match fitness hajacheza mechi kumi na tatu ndio akaja kupangwa ile mechi na ninyi, uzuri sisi mashabiki wa simba hatuna hiyana sisi kama mna kikosi kizuri huwa tunakubali tu mbona msimu uliopita tulikubali mlikuwa na kikosi kizuri japo mliishia robo cafcl kama simba tu ambao wao walikuwa na kikosi kibovu..mkishinda hizo mechi zote mbili zilizobaki na kutinga robo fainali tutaamini kweli makali yenu yamerudi!!
 
Sasa yanga hii na ile iliyofungwa miezi michache iliyopita ina tofauti gani kwani wachezaje wamebadilika si ni wale wale, au kisa mlihonga hizi timu za nbcpl mlizozifunga hivi karibuni kisha mkapangiwa vikosi b wachezaji hawashambulii wala hawakabi hadi kipa wa dodoma jiji akakiri hakuwa na match fitness hajacheza mechi kumi na tatu ndio akaja kupangwa ile mechi na ninyi, uzuri sisi mashabiki wa simba hatuna hiyana sisi kama mna kikosi kizuri huwa tunakubali tu mbona msimu uliopita tulikubali mlikuwa na kikosi kizuri japo mliishia robo cafcl kama simba tu ambao wao walikuwa na kikosi kibovu..mkishinda hizo mechi zote mbili zilizobaki na kutinga robo fainali tutaamini kweli makali yenu yamerudi!!
Sasa kama tuliwahonga nyie tukawachapa mechi 4 mfululizo wakihongwa wengine inawauma nini? Mnataka nyie peke yenu ndio muwe mnahongwa tu,, acha na izo timu nyingine zihongwe na zitaendelea kuhongwa mpaka tubebe ubingwa kama kuhonga ni rahisi!
 
Sasa kama tuliwahonga nyie tukawachapa mechi 4 mfululizo wakihongwa wengine inawauma nini? Mnataka nyie peke yenu ndio muwe mnahongwa tu,, acha na izo timu nyingine zihongwe na zitaendelea kuhongwa mpaka tubebe ubingwa kama kuhonga ni rahisi!
Sawa endeleeni kuhonga ila msitudanganye kwamba mna timu bora, kipimo chenu ni klabu bingwa huko hakuna kuhonga, hivyo tutaona mtakapoishia msimu huu na kikosi chenu 'bora'
 
Hizo timu za cafcl zilizobaki zisituangushe sasa, yani zihakikishe siyo tu yanga anaishia makundi bali aishie makundi huku akiburuza mkia, mazembe naye ajitahidi ashinde hata mechi moja tu ili arudi nafasi yake ya tatu
😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom