moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gani? hiyo timu imara mliyoishinda kwao ni ipi? Hujui kuwa hawa CS Sfaxien ndio mabingwa wa kihistoria wa hili kombe ambalo nyie mnajivunia kuvaa medali ya mshindi wa pili?Ki
Kumbe Leo ndio mmevunja, mmevunja rekodi Leo🤣🤣, wenzenu walishaga toka uko, walishashinda dhidi ya timu imara sio hao waarabu wa mlingotini!
HaswaaaaWale walioomba kulambwa ban simba ikifungwa wasipuuzwe
umecheza na timu haijashinda mechi hata moja asa ni wapinzani ama wasindikizajiWanatamani kusema simba wameshinda sababu mwenyeji hakuwa na mashabiki, ila wakikumbuka wao walishenyentwa mbili kwa nunge huku mwenyeji wao naye akiwa hana mashabiki, wanabaki kujifariji tu na kauli yao ya mashindano ya kina mama
Simba pia kafika fainali mkuuRobo fainali 4 kwa misimu 6 wenzako ndani ya msimu 1 tu wamecheza fainali ya icho kikombe cha wakina mama na bado unajisifu? Kama ni mwanaume kweli fika ata nusu tukuone!
Huoni amevaa jezi ya timu gani huyo?
Game kali sana.Utopolo Al Hilal kashapigwa huko, akifungwa msahau kuvuka makundi,mnasahau kundi lenu mnakazana na mambo ya Simba
Unazungumzia habari za historia ya miaka 2007,,historia ndio inacheza sasa hivi uwanjani? Current performance yao ikoje kwa sasa,,kama historia inawabeba mbona ni wa mwisho kwenye kundi wakiwa na kiwango kibovu!Una umri
gani? hiyo timu imara mliyoishinda kwao ni ipi? Hujui kuwa hawa CS Sfaxien ndio mabingwa wa kihistoria wa hili kombe ambalo nyie mnajivunia kuvaa medali ya mshindi wa pili?
Nazungumzia final 🤣Loser kama mwaka jana mlisema shirikisho ni loooooser cup
CAFCCMapinduzi cup
Huko sisi tumeshafika robo fainali mara tano mfululizo, imagine tulipata pesa kiasi gani wewe mara moja tu tayari umeanza kelele, haya hebu tuone kama utafululiza kwa mara ya piliPesa tuliopata group stage ya CAFCL
Huko umamani huwezi pata hata ufike final
CAFCL ina hadhi kubwa
Usipende kujilinganisha na CAFCL wakati timu lako lipo mashindano ya akina mama
Fuatilia mpira kijana, sio 2007,CS Faxien imetwaa ubingwa Shirikisho 2013,2019 imecheza nusu fainali, na imecheza hadi fainali ya Klabu Bingwa, haya lete rekodi za wale waarabu wachovu mliowafunga kwao tuone kama wanakaribia rekodi za CS CfaxienUnazungumzia habari za historia ya miaka 2007,,historia ndio inacheza sasa hivi uwanjani? Current performance yao ikoje kwa sasa,,kama historia inawabeba mbona ni wa mwisho kwenye kundi wakiwa na kiwango kibovu!
Mlivofika mara 5 mfululizo ndo mkafuzwa na kupelekwa kwenye mashindano ya akina mama 😅Huko sisi tumeshafika robo fainali mara tano mfululizo, imagine tulipata pesa kiasi gani wewe mara moja tu tayari umeanza kelele, haya hebu tuone kama utafululiza kwa mara ya pili
Mara hii mmesahau mechi yenu na mc alger, iliyokosa mashabiki kwao na bado mkashenyentwa mbili kwa nunge, yani mashabiki wa hii timu sijui huwa mnatumia nini kufikirimkuu sasa mpira umechezwa hakuna hata shangwe yaani ni kibubu bubu hata mtangazaji hana mzuka kuna mpira mpira hapo ama kuchoshana
Angalia mwenyewe mechi 4 point 9.kwamba shirikisho una toboa unatoka na point 9
Nimekuuliza historia yao ndio inacheza uwanjani kwa sasa? Ubovu wao kwasasa Wana tofauti Gani na kengold?Fuatilia mpira kijana, sio 2007,CS Faxien imetwaa ubingwa Shirikisho 2013,2019 imecheza nusu fainali, na imecheza, haya lete rekodi za wale waarabu wachovu mliowafunga kwao tuone kama wanakaribia rekodi za CS Cfaxien
mkuu mc alger utamfananisha na huyu mfu na ana adhabu juuMara hii mmesahau mechi yenu na mc alger, iliyokosa mashabiki kwao na bado mkashenyentwa mbili kwa nunge, yani mashabiki wa hii timu sijui huwa mnatumia nini kufikiri
mkuu huko shirikisho point 3 ni moja huku club bingwa (kwa ugumu wa huku )Angalia mwenyewe mechi 4 point 9.
Wale wengine mechi 4 point 4.
Wastani wa mechi moja point moja ni aibu kwa taifa.