Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Hawa wasudani ni kama wanataka waje wamalizane na Yanga tu. Leo sioni kama wanachomoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa bila Historia unawezaje kupima ubora wa timu? Utopolo currently imeshinda mechi moja tu Klabu Bingwa, tena na timu dhaifu ambayo haijashinda hata mechi moja. Currently Simba ndio inaongoza ligi ya NBC, sasa kama unazungumzia current performance nisikusikie unasema kwa sasa Utopolo ni bora kuliko SimbaNimekuuliza historia yao ndio inacheza uwanjani kwa sasa? Ubovu wao kwasasa Wana tofauti Gani na kengold?
Hawa bravo tunapiga, Constantine tunapiga piaConstantine 2 - Bravos 0, simba nafasi ya pili
Wamevuka wapi, mbona wapi chini bado?Ki
Kumbe Leo ndio mmevunja, mmevunja rekodi Leo🤣🤣, wenzenu walishaga toka uko, walishashinda dhidi ya timu imara sio hao waarabu wa mlingotini!
Sawa na ninyi si mfike hiyo robo fainali mara tano mfululizo kama ni wanaume kweli simba imefika robo fainali ya hiyo michuano ikiwa na kikosi kibovu kabisa ambacho karibu kila shabiki alikikatia tamaa, ila ninyi na kikosi chenu chote mnachodai ni kipana na hakuna wa kukifunga africa hii ila bado mkaburuza mkia kwenye kundi lenu, na mpaka sasa dalili za kufuzu robo fainali hakuna mmebaki kupiga hesabu za "tuki" na "waki"Mlivofika mara 5 mfululizo ndo mkafuzwa na kupelekwa kwenye mashindano ya akina mama 😅
Basi kubali kuwa Kwa Sasa Makolo wanashiriki mashindano ya akina mamaSawa na ninyi si mfike hiyo robo fainali mara tano mfululizo kama ni wanaume kweli simba imefika robo fainali ya hiyo michuano ikiwa na kikosi kibovu kabisa ambacho karibu kila shabiki alikikatia tamaa, ila ninyi na kikosi chenu chote mnachodai ni kipana na hakuna wa kukifunga africa hii ila bado mkaburuza mkia kwenye kundi lenu, na mpaka sasa dalili za kufuza robo fainali hakuna mmebaki kupiga hesabu za "tuki" na "waki"
Wasije jidanganya ni bora wapambane wakitegemea kwa yanga watashangazwa sana hawatoamini kitakacho wakuta kuna mkakati mzito sana unasukwa kwa ajili ya hizi gemu 2 pole yaoHawa wasudani ni kama wanataka waje wamalizane na Yanga tu. Leo sioni kama wanachomoa
Huyu mfu hana tofauti na mfu wenu tp mazembemkuu mc alger utamfananisha na huyu mfu na ana adhabu juu
ivi tp si ndo alikuchapa hapa 4-1Huyu mfu hana tofauti na mfu wenu tp mazembe
Yanga ana game na MC alger & Al hilal OmdnWasije jidanganya ni bora wapambane wakitegemea kwa yanga watashangazwa sana hawatoamini kitakacho wakuta kuna mkakati mzito sana unasukwa kwa ajili ya hizi gemu 2 pole yao
Yani suala siyo kwa sasa simba inashiriki wapi ninyi kote mnakopita simba ilishapita, hapa suala ni kwamba mahali ambapo yanga mnafika mkiwa na kikosi kizuri simba inaweza kufika ikiwa na kikosi kibovu kabisa, msimu uliopita hivyo hivyo mliishia robo mkiwa na kikosi kizuri huku simba ikiishia robo hiyo hiyo ikiwa na kikosi kibovu maana yake niniBasi kubali kuwa Kwa Sasa Makolo wanashiriki mashindano ya akina mama
Mpira una maajabu na ukatili sana mkuu kaa mkao wa kulaYanga ana game na MC alger & Al hilal Omdn
Hilal wana point 9 tayar, vyovyote iwavyo wanasonga mbele.
Simba inaenda kufuzu robo fainali ikiwa ugenini kule Angola. Mechi ya mwisho itakuwa ya kutafuta nafasi ya kuingia robo fainali kwa kuongoza kundi.Hawa bravo tunapiga, Constantine tunapiga pia
Kijana ushaambiwa ile top cream ya mazembe yote msimu huu haipo imeondoka na ndicho kinachowacost, hapa hatuongelei hata ile mazembe ya msimu uliopita iliyofika nusu fainali cafcl, yani kwa kikosi hiki cha mazembe kinachofungwa kwao unajisifu una timu nzuri huyu ndio mazembe unayemjua wewe kweli hebu kuwa serious basiivi tp si ndo alikuchapa hapa 4-1
tp ana point 2 huyu koko ana ngap?
Safari ya Simba imeishia hapo. Bravos ataua mtu Kisha baadaye atamfinyanga mwarabuWell done simba
Uko serious kweli?Safari ya Simba imeishia hapo. Bravos ataua mtu Kisha baadaye atamfinyanga mwarabu
Mkuu Bravos tulimshindwa hapa nyumbani. Tukapata kagoli ka penalty 1, lkn ukiwaangalia kimchezo walituzidi sana.Uko serious kweli?
Maana yake utopolo ni makopo kutwa nzima makelele keleleYani suala siyo kwa sasa simba inashiriki wapi ninyi kote mnakopita simba ilishapita, hapa suala ni kwamba mahali ambapo yanga mnafika mkiwa na kikosi kizuri simba inaweza kufika ikiwa na kikosi kibovu kabisa, msimu uliopita hivyo hivyo mliishia robo mkiwa na kikosi kizuri huku simba ikiishia robo hiyo hiyo ikiwa na kikosi kibovu maana yake nini
Sawa na ninyi si mfike hiyo robo fainali mara tano mfululizo kama ni wanaume kweli simba imefika robo fainali ya hiyo michuano ikiwa na kikosi kibovu kabisa ambacho karibu kila shabiki alikikatia tamaa, ila ninyi na kikosi chenu chote mnachodai ni kipana na hakuna wa kukifunga africa hii ila bado mkaburuza mkia kwenye kundi lenu, na mpaka sasa dalili za kufuzu robo fainali hakuna mmebaki kupiga hesabu za "tuki" na "waki"
Inaongoza kwa point ngapi na kabla ya hapo GD ilikuwa ngapi kwa ngapi?Sasa bila Historia unawezaje kupima ubora wa timu? Utopolo currently imeshinda mechi moja tu Klabu Bingwa, tena na timu dhaifu ambayo haijashinda hata mechi moja. Currently Simba ndio inaongoza ligi ya NBC, sasa kama unazungumzia current performance nisikusikie unasema kwa sasa Utopolo ni bora kuliko Simba