Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Ni UMITASHUMTAHuko UMISETA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni UMITASHUMTAHuko UMISETA
Sawa mgangaSimba ataishia hizo hizo point 9, maana atapigwa na Bravos na Constantine atachukuwa point 3 kwa Mkapa.
Sibishani na shabiki ambaye timu yake ina pointi 4Matokeo ya mashindano ya akina mama
Ya kwako ?Huku makalio yanapwita....hahahaa
Makolo mnavofurahia utadhani ni CAFCL kumbe ni UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mamaWale walioomba wabanikwe Mods pls do the needfull..
UMISETA nayo unatambaHuku makalio yanapwita....hahahaa
Sie hatuna hizo hesabu. Zinawahusu wenye point 4🤓🤓Simba ataishia hizo hizo point 9, maana atapigwa na Bravos na Constantine atachukuwa point 3 kwa Mkapa.
Huku makalio yanapwita....UMISETA nayo unatamba
Sibishani na shabiki ambaye timu yake ina pointi 4Matokeo ya mashindano ya akina mama
CAFCL ndo mashindano ya heshimaSibishani na shabiki ambaye timu yake ina pointi 4
Tfuta points kwanza ili ufuzu vigezo vya kubishana na mimi
Kwny hiki kipindi kujilinda ni muhimu...kama unataka magoli ss group letu halina vilazawana simba tukubaliane, timu yetu bado inacheza soka la tia maji tia maji. Hii timu tulipaswa kuipiga goli za uhakika