Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Basi chukueni kombe lenuSibishani na shabiki ambaye timu yake ina pointi 4
Tfuta points kwanza ili ufuzu vigezo vya kubishana na mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi chukueni kombe lenuSibishani na shabiki ambaye timu yake ina pointi 4
Tfuta points kwanza ili ufuzu vigezo vya kubishana na mimi
Uko sahihiSio mbovu,ukishazidiwa ufundi na timu pinzani lazima uonekane mmbovu...
Ubaya ubaya tu wasing'oe viti na huko tu
Tushacheza robo fainali 4 utatuambia niini ww mwakarobo ujae...CAFCL ndo mashindano ya heshima
Shirikisho ni mashindano ya akina mama
Leo mpigaji kazingua hata Chasambi anamzidi.Simba hawana mazoezi ya konaa waongeze training...
Tupo duni Sana kwenye konaa tupo dunii sanaaa
Kama nyie timu Bora chezeni CAFCL sio UMITASHUMITA mnatia Taifa aibuKwny hiki kipindi kujilinda ni muhimu...kama unataka magoli ss group letu halina vilaza
Eti leo mmecheza na timu Madrasa ya Msikiti mmoja pale Tunisia.Sibishani na shabiki ambaye timu yake ina pointi 4
Tfuta points kwanza ili ufuzu vigezo vya kubishana na mimi
Wengine hao bravos na Constantine wanacheza lini?Juuuu Killeen kama msimamo wa NBCView attachment 3193482
Ila kweli nyie mbumbumbu nawe ukifika nyumbani unasalimiwa shikamoo baba
Ndo mkaamua kushangilia UMISETATushacheza robo fainali 4 utatuambia niini ww mwakarobo ujae...
Tuliza mbanga...
Ila kweli nyie mbumbumbu nawe ukifika nyumbani unasalimiwa shikamoo baba
Ila mnakazi sana endeleeni kushangilia wanaumeSasa kinachofuata ni kuiombea MC Alger ishinde leo
Mliwahi kubeba kombe la haya mashindano?Uto wapo champions league nyie mpo kombe la mbuzi
Tuliza fuvu kaka unategemewa na familia energy itunze kwa ajili ya kazi za msingi...hii ya kubishana na aliekuzidi kila kitu huko CAF utajajinyea bureeMakolo mnavofurahia utadhani ni CAFCL kumbe ni UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Bila point utaonekana mjinga machoni mwa wengi.CAFCL ndo mashindano ya heshima
Shirikisho ni mashindano ya akina mama
Umetisha sanaaSisi ni wale tunaongoza makundi nje ndani...
Yani ndani ntiti nje ntiti