Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Shangilia sasa ushindi wa 'ndugu zetu'Hao ni ndugu zetu lakini kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangilia sasa ushindi wa 'ndugu zetu'Hao ni ndugu zetu lakini kaka
Mkuu ligi ya NBC ina sheria ya head to head? Imetungwa lini?Kanuni zitaamua, msije kusema hazikuwepo
Kumbuka Azam na Simba head-to-head ilikuwa 1-1 na 0-3
Nishangilie moja bila au ipi? Au nisubirie mambo mazuri yanakuja?Shangilia sasa ushindi wa 'ndugu zetu'
Freddy kapiga kimoja leo ndo nasema shangilia hako kabao kalikozaa alama 3Nishangilie moja bila au ipi? Au nisubirie mambo mazuri yanakuja?
Kimoja ndio kimekufanya uje duniani.Zingine ni starehe.Kuwa na adabu.Nishangilie moja bila au ipi? Au nisubirie mambo mazuri yanakuja?
Oya 🤣Kanuni zitaamua, msije kusema hazikuwepo
Kumbuka Azam na Simba head-to-head ilikuwa 1-1 na 0-3
Kama bado unauliza swali kama msimamo nimeutolea wapi, maanake hakuna ulichokuwa unakijua kwenye hilo ndio maana umetilia mashaka nilipoutolea huo msimamo. Akili yako inafikiria ya TFF itakuwa tofauti na hii. Bado una mentality ya head to head pole sana, hakuna head to head. Haya ya TFF hii hapa angalia.Nimeshasema nawajambisha utopolo wanaofuatilia mechi za Simba.
By the way, huu msimamo wa Ligi umeutoa kwenye website ya TFF?
Daah hongereni kwa kimokoFreddy kapiga kimoja leo ndo nasema shangilia hako kabao kalikozaa alama 3
Umefurahi bila shaka 😂Daah hongereni kwa kimoko
Mbona sasa ni kama unanilazimisha nifurahi bro 🤣🤣🤣🤣Umefurahi bila shaka 😂
Kisugu kasha wajaza ujinga na nyie mme jaaKanuni zitaamua, msije kusema hazikuwepo
Kumbuka Azam na Simba head-to-head ilikuwa 1-1 na 0-3
Sikulazimishi ufurahi Ila nakukaribishwa ufurahi pamoja na wanalunyasi.Mbona sasa ni kama unanilazimisha nifurahi bro 🤣🤣🤣🤣
Hamna cha kufurahi bana hapo 🤣🤣🤣🤣🤣 nafurahishwa na 💛💚💛💚 wazee wa mabao tuuuSikulazimishi ufurahi Ila nakukaribishwa ufurahi pamoja na wanalunyasi.
Sisi Manyani FC wenye mwiko nyuma tunawashwaNi mwendo wa magoli ya Offside sisi Nguruwe FC mpaka tukamate nafasi ya pili
View attachment 2992785
Tunakoelekea magonjwa yasiyoambukizwa yatawapata wengi. Yaani shabiki timu yake imebeba ubingwa lakini bado anaumia na matokeo ya mechi nyingine, hadi anayanunulia bando ! 🤣 🤣 🤣Ni mwendo wa magoli ya Offside sisi Nguruwe FC mpaka tukamate nafasi ya pili
Tuwekee msimamo wa ligi ikionesha Simba yupo juu ya Azam kwa head to head au hujajua kama mpaka sasa Simba na Azam wanalingana point?Tunakoelekea magonjwa yasiyoambukizwa yatawapata wengi. Yaani shabiki timu yake imebeba ubingwa lakini bado anaumia na matokeo ya mechi nyingine, hadi anayanunulia bando ! 🤣 🤣 🤣