Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umedata sio bureTuisila kapiga on target huko
Amekuja kuwa prove wrong
Feisali anastahili kadi nyekunduumedata sio bure
Tumekuja tumekujaa...vipi hajatandikwa hata kimoja?
Wote wawili red cardFeisali anastahili kadi nyekundu
Sio mchezaji wa Dodoma ndio alipaswa kupewa kadi, maana ameenda kukabwa shingo akiwa Hana mpiraFeisali anastahili kadi nyekundu
Huyo refa hajitaki?Feisali anastahili kadi nyekundu
KabisaFeisali anastahili kadi nyekundu
Itakuwa bado....Tumekuja tumekujaa...vipi hajatandikwa hata kimoja?
Hapana. Ukiisha jibu tu wewe ndio utakula red unless otherwiseWote wawili red card
Huu ni mchezo wa kuigiza usitarajie kitu kama hicho.Yanga lazima wafungwe Leo kama Argentina tu
Humu hapavutii bestItakuwa bado....
Tulia ivo ivo dawa ikuingie... Hatuachi kombe lolote safari hii paka la mapinduzi tunapita naloHuu ni mchezo wa kuigiza usitarajie kitu kama hicho.
Starring anatakiwa kuwa unbeaten
Mno yaaani[emoji19][emoji19][emoji19]Humu hapavutii best
Uzuri katika huu mchezo wa kuigiza na Simba yumo akishikiriki kwenye scenes tatu.Huu ni mchezo wa kuigiza usitarajie kitu kama hicho.
Starring anatakiwa kuwa unbeaten
Jamaa kampiga ngumi nae karudisha ingekua foul ya kawaida sawa Ila hapo red card kwa woteHapana. Ukiisha jibu tu wewe ndio utakula red unless otherwise
Tatizo uwezo. Unadhani kuifunga Yanga ni rahisi?Tumekuja tumekujaa...vipi hajatandikwa hata kimoja?