Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #201
Naunga mkono hojaEvelyn Salt naomba umtumie kaka yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaEvelyn Salt naomba umtumie kaka yetu
Eeh Mungu!Maxence Melo kwani ni nini bro, jlw halipo hata koneksheni unapiga pini.....unataka tufe kwa nyege bro 🥹🥹
Nilikuwa na kipindi cha kufundisha jana jioni so nilipomaliza kipindi na mechi ilikuwa imemalizikaMbona jana sijakuona hapa kaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Max nimekuelewa, basi sawa.....Eeh Mungu!
😂😂😂Umetisha wifi koo litakuwa limekuuma sana 😂😂😂😂
Huko kumoka 😂😂😂😂😂😂
Nipo hapa nalipooza na vitu baridi, ila lakini wadada wa kaskazini kwanini ni mapierre hivi..??
😂😂😂Huko kumoka 😂😂😂
Utaunguza mayai sasa nishindwe kuitwa aunt
Kunywa laini basi wii 😂😂😂😂😂😂
Mungu aniepushe na hicho kikombe walaqhi'..!!🤭
😂😂😂Kunywa laini basi wii 😂😂😂
Hizo hazina shida zinachangia kutoa aibu ya kutafuta watoto 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️😂😂😂
Ahsante kwa ushauri wifi yangu, laini ndiyo zangu hizo..!!
Na hilo jitu linajinoaTunasubiri kupiga jitu tarehe 20.
Dah... Ubarikiwe Sana mkuu Kwa hili shairi umenikumbusha mbali sanaSIZITAKI MBICHI HIZI
Hadithi inayokuja, ni ya Sungura sikia,
Hadithi uliyongoja, leo ninakuletea,
Alitoka siku moja, njaa aliposikia,
Njaa aliposikia, Sungura nakuambia
Siku ile akaenda, Porini kutembelea,
Akayaona matunda, mtini yameenea,
Sungura akayapenda, mtini akasogea,
Mtini akasogea, Sungura nakuambia.
Sungura karukaruka, lakini hakufikia,
Matunda hakuyashika, mikononi hakutia,
Hakika alisumbuka, nguvuze zikapungua,
Nguvuze zikapungua Sungura nakuambia.
Mtazame hapo juu Sungura amelegea,
Mtazame na miguu, matunda anarukia,
Atafanya sikukuu, matunda akifikia,
Matunda akifikia, Sungura nakuambia.
Karuka tena karuka, matunda akarukia,
Mwisho Wave akachoka, kachoka hata mk-Ia,
Penye mti akatoka, pembeni akasogea,
Pembeni akasogea, Subgura nakuambia.
“Sizitaki mbichi hizi” Sungura akagumia,
“Naona nafanya kazi, bila faida kujua”,
Yakamtoka machozi matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura nakuambia.
Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.
Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia,
Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikta,
Usikose kujikaza, mazuri kukazania,
Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi.
Dah... Ubarikiwe Sana mkuu Kwa hili shairi umenikumbusha mbali sana