kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Mapovu kune nanii😁😁
Nilikua naoga nimetoka bafuni baada ya kujua Ki kaweka chuma cha 17🤸💛💚🔥🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua naoga nimetoka bafuni baada ya kujua Ki kaweka chuma cha 17🤸💛💚🔥🔥🔥
Shangilia udondoshe Taulo tuoshe machoNilikua naoga nimetoka bafuni baada ya kujua Ki kaweka chuma cha 17🤸💛💚🔥🔥🔥
Ngoja tuoneKi anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi Feisal
toto la muhasibuNgoja tuone
Iyo nickname yake ya "Freezer" 😁Uyu Aziz K kuja kucheza soka uku Mashariki ya Afrika ni Neema tu ya Mungu.
Jamaa anajua Sana boli, jinsi alivyo kua anapokea iyo mali kabla beki haja mchezea faul wapo namba 10 wengi tu Ulaya hawana uwezo uo.
Ana nikumbusha mwamba mmoja alipita pale Yanga miaka ya 80'anaitwa Doto Ruta Mokili (freezer) mali zote alikua anazi pokelea kifuani (Gambani)
Kama kafunga niwahi kwa muhasibu mapemaTo
toto la muhasibu
Ki 17Naomba kujuzwa azizi ana magoli mangapi? Na feisal mangap
Aibu kuona hata ninyi mlipokea mala2Bahasha zinaharibu sana league yetu, ni aibu sana kwa Tanzania na watanzania kwa ujumla...
17 kwa 16 respectivelyNaomba kujuzwa azizi ana magoli mangapi? Na feisal mangap
Acheni utani na professional leagues kubwa jamani, tuwe realistic tu wakubwa, hivi vijamaa kwenye ligi kubwa kama epl, bundes, serie a, la Liga usivione ni vidogo ukavichukulia poa aisee, Hawa kina Aziz k ni level za huku kwetu tu ukimpeleka huko utachekesha watu sheikh, tuwe wakweli tu..... Timu ya championship kama Leicester wakija huku hakuna timu itakula chini ya chuma 3 mpaka ligi iishe, labda tuwachezeshe viwanja kama kile Cha jkt kilichojaa tope, ila kwenye standard pitches tutachezea sana, wangekua na viwango hivyo wangeenda huko kitambo Kuna mtu hapendi pesa kwani?
Kumbe kafunga 😁🙌Ki 17
Fei 16
Yanga walishatangaza ubingwa tokea mechi dhidi ya Mtibwa sasa watoe bahasha kwa kutafuta nini? Bahasha wasitoe wanaogombania nafasi ya pili huko.Bahasha zinaharibu sana league yetu, ni aibu sana kwa Tanzania na watanzania kwa ujumla...
Mchezaji yeyote anayeanza timu ya taifa kama Burkina faso, Mali, DRC anauweza wa kucheza Epl na ligi kubwa za ulayaAcheni utani na professional leagues kubwa jamani, tuwe realistic tu wakubwa, hivi vijamaa kwenye ligi kubwa kama epl, bundes, serie a, la Liga usivione ni vidogo ukavichukulia poa aisee, Hawa kina Aziz k ni level za huku kwetu tu ukimpeleka huko utachekesha watu sheikh, tuwe wakweli tu..... Timu ya championship kama Leicester wakija huku hakuna timu itakula chini ya chuma 3 mpaka ligi iishe, labda tuwachezeshe viwanja kama kile Cha jkt kilichojaa tope, ila kwenye standard pitches tutachezea sana, wangekua na viwango hivyo wangeenda huko kitambo Kuna mtu hapendi pesa kwani?
We jamaa nmeamini unaujua mpiraKi anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi Feisal
Achana na huyu chizi.Yanga walishatangaza ubingwa tokea mechi dhidi ya Mtibwa sasa watoe bahasha kwa kutafuta nini? Bahasha wasitoe wanaogombania nafasi ya pili huko.
Yeah leo ngoja apige hat trickKumbe kafunga 😁🙌