FT: Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Jamhuri | Mei 22, 2024

Iyo nickname yake ya "Freezer" 😁
 
 
Mchezaji yeyote anayeanza timu ya taifa kama Burkina faso, Mali, DRC anauweza wa kucheza Epl na ligi kubwa za ulaya
 
Ki anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi Feisal
We jamaa nmeamini unaujua mpira
Natamani ungekua mchambuzi wa kandanda
Hua naawaangalia sana hawa wachambuzi uchwara
Safi kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…