Kidogo atuuze.Kijili vipi?
Anatolea ndani???
namna gani?
Unafanyia adui set-up
Inatuhusu mkipoteza point tunazidi kujichimbia kileleni.Kuna watu wana roho mbaya sana. Sasa mechi ya ubaya ubwela, utopwinyo inawahusu nini?
kwani mpo kileleni?Inatuhusu mkipoteza point tunazidi kujichimbia kileleni.
Mmekoswa kuchomekwaDah, Tumekoswa koswa pale. Mwamba.
Tulia mtazame Ateba.Mmekoswa kuchomekwa