Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeifuta?Hakuna penalty hapo
🐒 FcGenge la wahuni
Nini kifanyikeMakosa ya kibinadamu yanazidi kuigharimu ligi yetu
Penati halali kabisa ile. Hadi kamuumiza mchezaji acheni ushabiki maandazi.Jamaa kacheza mpira tuache ushabiki maandazi
Kama ya Kule Mbeya😁Makosa ya kibinadamu yanazidi kuigharimu ligi yetu
Ukibebwa bebekaNibeeebeeeeee nibeebeeee
nilisha yajua haya mapema bila mbereko hakuna timu hapanyau ana chapwa leo amini, labda ipatikane red card ama penati
Kuna nini sasa?Hakuna penalty hapo
Wapakwa mafuta ya Pdidy wabishi sanaNilijua Mrs.Sean Combs utajitokeza. We umeona beki wa Dodoma Jiji kacheza mpira pale?
kwa nini ubebwe sasaUkibebwa bebeka
Teh teh 😃 😃 😃 noma sana hii...Siangalii mechi ila ni penati ya mchongo hiyo, bahasha imefanya kazi yake.
Namguu kaugusa kwani we hujaona?Jamaa kacheza mpira tuache ushabiki maandazi
Km Yale ya Ken gold, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makosa ya kibinadamu yanazidi kuigharimu ligi yetu