Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #141
Kwanza pale Cairo International Stadium panatisha aloooEsperance wakifika Cairo hakuna rangi wataacha kuona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza pale Cairo International Stadium panatisha aloooEsperance wakifika Cairo hakuna rangi wataacha kuona.
Hapa hakuna goli, maana wote hawajui waufanyie nini mpira wafikapo kwenye final third.....Kwa mwenendo wa mechi jinsi ulivyo sidhani kama tutaona goli
Hata simba walisema 🌺Atabeba
Sisi tutaendelea kuwa wasindikizaji, soka letu linachezwa kizamani sana kwasababu ya mifumo kama goli la ugeniniHapa hakuna goli, maana wote hawajui waufanyie nini mpira wafikapo kwenye final third.....
Fainali fani mpaka dk ya 80 hakuna hata shot on target?
yaani timu zote zimeonesha ubutu wa hali ya juu, halafu eti ndio wawakilishi wetu kwenye FIFA CLUB WORLD CUP hapo mwakani?
6 watakuwa na Corona wa 4 homa ya manjanooo nikokwamassawe nakulashisha mtaniambiaKwanza pale Cairo International Stadium panatisha alooo
Acha kabsa ile ni Bernabeu ya AfricaKwanza pale Cairo International Stadium panatisha alooo
Licha ya hivyo tu hata uwezo tu uwanjani bado tuna vitu vingi sana vya kujifunza....Sisi tutaendelea kuwa wasindikizaji, soka letu linachezwa kizamani sana kwasababu ya mifumo kama goli la ugenini