Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #161
FT’ Esperance 0-0 Al Ahly
Fainali ya Mkondo wa Pili itapigwa 25/05/2024 pale Cairo
Fainali ya Mkondo wa Pili itapigwa 25/05/2024 pale Cairo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana.Mchezo wa kwanza wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika unapigwa leo katika dimba la Olympique Hammadi Agrebi baina ya wenyeji Esperance dhidi ya mabingwa watetezi Al Ahly.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Saa 4:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki.
Updates ==================
30’ Esperance 0-0 Al Ahly
Bado timu zote zinasomana
Al ahly ameamua kupaki basi muda mwingi anacheza kwenye zone yake
32’ Hakuna timu iliyolenga goli mpaka sasa
34’ Esperance wanapata faulo lakini wanashindwa kutumia nafasi
36’ Esperance 0-0 Ahly, timu zimekamiana sana
37’ Kuumia kwa Maaloul dakika za mwanzoni ni kama kumeleta pengo kwenye kikosi cha Ahly
40’ Esperance wanapata faulo nje ya 18 ya Al Ahly lakini wanapaisha
41’ Al Ahly mpaka sasa washacheza faulo 6 huku Esperance akicheza faulo mbili
43’ Esperance wanajitahidi kufika langoni mwa Al Ahly ila wanakutana na changamoto ya ukuta mgumu wa Ahly
45’ Mwamuzi anaongeza dakika 2 kabla ya mapumziko
HT’ Esperance 0-0 Al Ahly
2nd half imeanza…
55’ bado timu hazijafungana
56’ Hussein El Shahat (Al Ahly) anapokea pasi nzuri na kutoka nje kidogo ya eneo la hatari anaachia shuti kali, lakini shuti hilo linazuiwa na beki.
60’ Hakuna timu iliyopata shot on target hata moja
Esperance 0-0 Ahly
62' Emam Ashour (Al Ahly) anaenda kwa goli kwa shuti la mbali, lakini juhudi hizo hupaa nje ya lango la kulia.
65’ Esperance 0-0 Ahly
69' Houssem Teka anatoka nje ya uwanja na nafasi yake kuchukuliwa na Zakaria El Ayeb (Esperance Tunis).
69' Mohamed Ben Ali anaondoka na Miguel Cardoso anatoa maagizo ya mwisho ya kimbinu kwa Raed Bouchniba (Esperance Tunis).
71' Kadi ya njano inatolewa kwa Rodrigo Rodrigues (Esperance Tunis).
75’ Al Ahly wanaamua kurudi nyuma sasa na kupaki basi
80’ Esperance 0-0 Al Ahly
Hakuna shot on target mpaka sasa🤣
81' Mwamuzi anasimamisha mchezo ili abadilishwe na Emam Ashour atoke nje ya uwanja na nafasi yake kuchukuliwa na Afsha (Al Ahly).
85’ Esperance 0-0 Al Ahly
90’ Refarii anaongeza dakika 5
Esperance 0-0 Al Ahly
Al Ahly wanafanikiwa kupata shot on target ya kwanza
FT’ Esperance 0-0 Al Ahly
Fainali ya Mkondo wa Pili itapigwa 25/05/2024 pale Cairo
Kuna watu huu ujinga ndio wanauita modern footballCAF waondoe goli la ugenini kanuni ya kizamani sana hii ndio maana mechi zinakosa magoli timu zipo too defensive
Kabisa hata hii ya fainali kupigwa nyumbn na ugenini haileti lafha maana timu inajilinda ikiwa ugenini ikitegemea uwanja wa nyumbn watakiwashaCAF waondoe goli la ugenini kanuni ya kizamani sana hii ndio maana mechi zinakosa magoli timu zipo too defensive
Tafteni nafasi ya pili kwanza mnawaza vitu vipo juu ya uwezo wenu CL hawachezi akina tatu, nusu fainali tu ya CRDB mmekwama hio fainali ya CL mnafikaje?Safi sana.
Next season Mnyama Simba atakipiga kwenye hizi fainali
Me nataka Esperance wachukue kombeMechi ya pili ndiyo itakuwa tamu kuliko ya kwanza, tena itakuwa tamu zaidi kama tu Al ahly watacheza mpira wao wa kumiliki na kushambulia Kwa haraka na wakati huo EST wakicheza mpira wao wa kuvizia wa kupita pembeni Kwa haraka, itakuwa ni kivumbi kweli hasa pembezoni mwa uwanja.
Kabisa hata hii ya fainali kupigwa nyumbn na ugenini haileti lafha maana timu inajilinda ikiwa ugenini ikitegemea uwanja wa nyumbn watakiwasha
Hao ndyo mabingwa wa kihistoria kwa AfrikaKwanini mara nyiingi Al ahly wanaanza away?
Basi watoe goli la ugeniniSwala la home and away CAF naendelea kuwaelewa, Sasa mkuu mfano game inachezwa Ghana ni wabongo wa ngapi wenye uwezo wakwenda kuishabikia Simba au Yanga Ghana? Finale ikiwa mechi moja ki Africa tutaishia kushuhudia finale yenye uwanja mtupu usio na mashabiki
Ni swali lisilo na majibuKwanini mara nyiingi Al ahly wanaanza away?