FT: Esperance 0-0 Al Ahly | CAF Champions League Final | 1st Leg | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 18.05.2024

Safi sana.
Next season Mnyama Simba atakipiga kwenye hizi fainali
 
Safi sana.
Next season Mnyama Simba atakipiga kwenye hizi fainali
Tafteni nafasi ya pili kwanza mnawaza vitu vipo juu ya uwezo wenu CL hawachezi akina tatu, nusu fainali tu ya CRDB mmekwama hio fainali ya CL mnafikaje?
 
Mechi ya pili ndiyo itakuwa tamu kuliko ya kwanza, tena itakuwa tamu zaidi kama tu Al ahly watacheza mpira wao wa kumiliki na kushambulia Kwa haraka na wakati huo EST wakicheza mpira wao wa kuvizia wa kupita pembeni Kwa haraka, itakuwa ni kivumbi kweli hasa pembezoni mwa uwanja.
 
Me nataka Esperance wachukue kombe
 
Kabisa hata hii ya fainali kupigwa nyumbn na ugenini haileti lafha maana timu inajilinda ikiwa ugenini ikitegemea uwanja wa nyumbn watakiwasha

Swala la home and away CAF naendelea kuwaelewa, Sasa mkuu mfano game inachezwa Ghana ni wabongo wa ngapi wenye uwezo wakwenda kuishabikia Simba au Yanga Ghana? Finale ikiwa mechi moja ki Africa tutaishia kushuhudia finale yenye uwanja mtupu usio na mashabiki
 
Fainali iwe moja tu ya uwanja huru.
Ila Wamisri hawataki wanachukulia faida ya kucheza kwao ili wafanye figisu. Kwa mtindo huu Waisri watashinda sana fainali.
 
Basi watoe goli la ugenini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…