holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Camara akiwa anaokoa sana mashuti yatakayolenga lango na sisi tanzania tukashindwa kufuzu basi asibaki tanzania aende tu hukohuko kwao! Yani kapombe apge shuti alipangue,au mo hussein alafu badae uck aje kambini kutuambia nn sasa yan sisi (kapombe,mo hussein,manura,kazi) aje kambini anatuchekea sisi tunalia hiiiiii. Mazoezini nitahakikisha namfyatulia bonge la shuti aumie arudi kwao guinea mazima bora arejee ayub rakred na manura. Yani pona yake ni kutuachia tumpge magori matatu ndo ahueni yake dadeki!