Hawa watu sidhani kama huwa wanatumwa na Rais.
Uchawa ukizidi dishi huyumba, na hivyo kupoteza signal.Hawa watu sidhani kama huwa wanatumwa na Rais.
Aibu sana na mambo ya kipumbavHii ndiyo inafanya watu tuichukie Taifa Stars
Niko kinyereziUko wapi mdau?
Kama nikweli Mungu kaskia dua za baathi ya was tz naakija hapa guinea ashnde moja bilaaGuinea wameshinda dhidi ya Drc. Kibarua kigumu sana kwetu.
Ni muujiza pekee utatupitisha kwenda Morocco
Angetuachia tushinde tatizo akituachia sifa na shukran hatutompa yeye Bali bimkubwa wa tz ndo tutamsifu kwahyo camara ataki upuuzi nikudaka mpaka vumbiCamara akiwa anaokoa sana mashuti yatakayolenga lango na sisi tanzania tukashindwa kufuzu basi asibaki tanzania aende tu hukohuko kwao! Yani kapombe apge shuti alipangue,au mo hussein alafu badae uck aje kambini kutuambia nn sasa yan sisi (kapombe,mo hussein,manura,kazi) aje kambini anatuchekea sisi tunalia hiiiiii. Mazoezini nitahakikisha namfyatulia bonge la shuti aumie arudi kwao guinea mazima bora arejee ayub rakred na manura. Yani pona yake ni kutuachia tumpge magori matatu ndo ahueni yake dadeki!