Hata wewe siku ile ulitoa kauli kuwa tulinunua au tuweke screenshot ππππYanga walicheza na Red Arrows juzi tu na Arrows walipewa red card. Kwa hiyo Yanga dhidi ya Vital'O walinunua mechi ile ya mashindano?
ubaya ubwelaUkisema tuanze kuzungumzia maboa ya plastiki ambayo hayaozi hatutafika muafaka
View attachment 3083587
Usimpangie hahaaahaRefa toa kadi kwa Kibu
bado wanasafar ndefuMechi ya kirafiki mpaka red card π timu ipo pungufu ila mpaka sasa wazee wa mikimbio wanashindwa kupata hata ontarget moja πππ Ong bak hana muda hapo atafukuzwa, Mo dewji atuachie timuπ‘
Huwa sitoagi macho kwenye mechi za kujipima kama hiziHata wewe siku ile ulitoa kauli kuwa tulinunua au tuweke screenshot ππππ
Kwa hiyo hata goli lilikuwa off target? Inawezekana lugha inaleta usumbufu humu... mpaka sasa wazee wa mikimbio wanashindwa kupata hata ontarget moja
Vital o na nyie mna tofauti gani?Kumbuka hawa sio Vitalo
Timu imetoka vitani huko Sudan na wapo pungufu lakoni wanawakinbiza hivyoπKumbuka hawa sio Vitalo