MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Ligi yao hao jamaa wapo nafasi ya ngapi?Timu imetoka vitani huko Sudan na wapo pungufu lakoni wanawakinbiza hivyoπ
Ungekataa ningeweka risiti zakoππππHuwa sitoagi macho kwenye mechi za kujipima kama hizi
Kwa hiyo hata goli lilikuwa off target? Inawezekana lugha inaleta usumbufu humu
Hawezi kuwa na mchezaji wa aina ya pacome πππ Cc ephen_Ong bak toa Mutale ingiza Pacome!
ππππππππππππππ Labda atokeee mbeyaWamtoe wapiπ€£
Yanga ilikuwa inajitafuta! Kilichofuata baada ya hapo mwenyewe unajuaπππ na hapo ilikuwa ugenini
Apatie wapi π kumbe ni kijili, nilikoseaHawezi kuwa na mchezaji wa aina ya pacome πππ Cc ephen_