FT | Friendly Match: Simba 1-1 Al Hilal | KMC Complex

FT | Friendly Match: Simba 1-1 Al Hilal | KMC Complex

Kocha SIMBA ana mbinu dhaifu sana namna ya kuifungua defence....MECHI zake nimeona penettalration chache sana ...ni kama wachezaji wanakimbia zaidi nje ya D ya mpinzani..m
 
Timu imetoka vitani huko Sudan na wapo pungufu lakoni wanawakinbiza hivyo😀
Sudan vita haijaanza leo

Kumbuka hii
Screenshot_20240831-164835.png
 
Wamtoe wapi🤣
Ndio hapo sasa

Sisi na wazee wapi na wapi

Angalia tu umri wa Aucho naskia tayari huko mashuleni watoto washaanza kupewa hesabu zake

Aucho kiumri kamzidi hadi Fadlu maana Fadlu anacheza kwenye 36
 
Back
Top Bottom