FT | Friendly Match: Simba 1-1 Al Hilal | KMC Complex

Fadlu mjanja sana kwenye mechi za kirafiki anavunga hana team nzuri ikija game halisi anakiwasha balaa
 
Mmezoea ulozi ndio maana mnawaza waganga.
 
Hii timu na wachezaji sio wabaya Ila tujiulize kocha tuliyenaye ana uwezo wa kutengeneza timu, si Kila kocha anaweza kutengeneza timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…