1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
leo magoli huweki mwambaAteba amechezewa faulo ndani ya 18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leo magoli huweki mwambaAteba amechezewa faulo ndani ya 18
Mechi ilimzidi tarehe 08 Aug kocha kaona bora ampumzishe shughuli ngumu kwake. Watu wakatandika goli moja la playstationMavambo mmoja sawa na Yanga nzima mbaka benchi
Na hawajaanza leo kutokuwa na ligiAl hilal Hawa Hawa Ambao hawana ligi yenye maana kutokana na Vita huko Sudan ndoo mnakuja kusema wamoto ...Cheza mechi zako ila timu yako baado haiko stable tuwape mda ila bado
Oho oct 22 kuna nov 2023 hii hapa. Ukitaka ya 2024 pia sema nikupe
Nawatakia Kila la kheri kaka katika mechi ya Leo Cc ephen_
La muungano linamsubiria halinaga mgombeaSimba ya mwaka huu lazima itoka na kikombe japo kimoja
Nakazia 📌 🔨Simba bingwa..!💪
Ngoma hataisaidia sana Simba SC, anauwezo ila Kasi hanaKocha afanye afanyavyo, hatutaki tena kumuona yule mduwanzi mzamiru.. Kagoma, okejepha na ngoma wanatufaa, debora Fernandez tayari namba yake anatembea nayo mfukoni.
Ukisema tuanze kuzungumzia mabao ya plastiki ambayo hayaozi hatutafika muafakaOho oct 22 kuna nov 2023 hii hapa. Ukitaka ya 2024 pia sema nikupeView attachment 3083586
Mjifunze sasa ya kuwa majungu hayajengi.Hahahahahaha huyu Manula ni zaidi ya Buffon
Hizi kamba sio za katani, ni kama sling za 200 tons.Unaitwa MGAGANI ni dawa ya tiba izi.
1.Dawa ya kisukar
2.Dawa ya vidonda vya tumbo.
3.Dawa ya fangas sugu.
4.Dawa ya u.t.i sugu..
5.Dawa ya bawasira.
6.Dawa ya pumu.
7.Dawa ya kubana uke.
8.Dawa ya kufuta makovu mwilin.
9.Dawa ya kuweka mzunguko wa damu vzr.
DR Pdidy
Ni kweli, ngoma yupo slow, lakin ana sifa ya kupiga pasi ndefu kwenye njia na zinafika, kuna pasi kama 2 hivi kagoma kapiga zile pasi, ngoma ni mzuri pia... Kikubwa atumie silaha yake ya yale kuzika mapungufu yake.Ngoma hataisaidia sana Simba SC, anauwezo ila Kasi hana
Hakika tatizo Hilo pia analo Kibu anakera sana. Analazimisha ku dribble kwa muda na eneo kubwa bila ulazima.Awesu apunguze muda wa kukaa na mali mguuni, ukishakuwa kwenye eneo la mpinzani, kwa nafasi yake awe anatizama nafasi na kuachia moja mapema.
Yani hiyo ni kuonesha kuwa tunasema kile ambacho kweli tunakiona.Mjifunze sasa ya kuwa majungu hayajengi.
Ipo live ndani Azam sports 1HDInaoneshwa channel gani?
Isijekua yaleyale ya kuchezea chumbani matokea ya kupangwa hadharani