Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Na wewe mwanetu si upo shirikishoTujikumbushe.. hii Al Hilal iliwafunga Utopolo ya Nabi na kuwapeleka shirikisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe mwanetu si upo shirikishoTujikumbushe.. hii Al Hilal iliwafunga Utopolo ya Nabi na kuwapeleka shirikisho
Wewe mkubwa ulileta timu yako ikafa kimoko mwanetu timu huna wewe na mwezi wa kumi nakupiga tenaFriend Match na Timu kubwa sio VITALO
mbona mapema mkuuDirisha dogo tuachane na hawa wachezaji
Mutale
Mukwala
Okejepha
Ahoua
Debora
Hamna wachezaji humu! Mara mia kina Saidoo
Ndio shida yenu hiyo, mlivyopigilia magoli 7 kwa Tabora na Fountain gate mlimaliza maneno yote kuwa timu imeshakamilika.Bado hakuna timu, hata kuingia makundi nina mashaka
Una uhakika ilikuwa ni hii?Tujikumbushe.. hii Al Hilal iliwafunga Utopolo ya Nabi na kuwapeleka shirikisho
Naunga mkono hojaSimba ilikua 2018-2020 saivi wapo daraja Moja na kina pamba FC, Mbao na Toto African
hapa umeweka mahaba pembeni.Bado hakuna timu, hata kuingia makundi nina mashaka
Kacheze weweWachezaji hawana uchungu na Timu namshauri boss Mo atusajili sisi mashabiki tukachezee timu yetu ili kuleta chachu ya mabadiliko.
Sawa sawa[emoji881]
[emoji3590][emoji833][emoji170]
Hallah
[emoji120][emoji120][emoji120]
😁😂😂😂😂😂😁😁😁Msisahu kutuma video za magoli
Timu inafungwa na wachezaji pungufu??mbona mapema mkuu
Kwahyo kama ina mwezi mmoja ndo tufanyeje, Timu huwa inasajili wachezaji ili wawasubiri kuonyesha vipaji vyao ?Kacheze wewe
Match Ilikuwa nzuri sanaaaa. Vijana wengi hawajacheza match za ushindani. Wamejitahidi sanaaa. Team Ina mwezi mmoja tu
Wanaotoa maoni wote huku ni Yanga ambao wanaingiwa na woga sanaaaaaTimu inafungwa na wachezaji pungufu??
Tumecheza na wa 200 kwa UBORA vipi wewe ulifika wapi kombe la shirikisho na klabu bingwa? Wenzako wamecheza fainali kombe la shirikisho msimu juzi, wakarudi msimu jana wakacheza robo fainali klabu bingwa na kutolewa kwa figisu na mamelod na wewe ilikuwa wapi mda huo? Yanga Kila timu atayocheza nayo itaonekana mbovu kulingana na daraja aliloliweka kwa sasa, ngoja tuone mtafika wapi kwenye ilo kombe la looser msimu huuMpira unaujua?
Nitajie wale Vitalo ligi yao ni ya ngapi?
Hapo tusipigie hesabu na mlivyocheza wakiwa outnumbered
Mmecheza na timu ya 200 kwa ubora halafu pamoja na hilo wao wako watatu uwanjani then mnatamba
Mbona simba hawalalamki? We ni nani Mpaka uanze kukosoa?Kwahyo kama ina mwezi mmoja ndo tufanyeje, Timu huwa inasajili wachezaji ili wawasubiri kuonyesha vipaji vyao ?
We YangaDirisha dogo tuachane na hawa wachezaji
Mutale
Mukwala
Okejepha
Ahoua
Debora
Ateba
Hamna wachezaji humu! Mara mia kina Saidoo