black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Kila lakheri azam😃Kitoke wapppi. 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila lakheri azam😃Kitoke wapppi. 🤣🤣
Pole sana Mtani.Hahaha mtani mimi mbona nipo, wewe ndio umepotea Hata kwenye nyuzi za yanga siku hizi sikuoni, yani simba inanivuruga mtani acha tu 😀😀
🤣🤣Sokoni
Hapa lengo letu Makolo wacheze lile kombe waliloliitaga la looser. 😂Kila lakheri azam😃
Nani mfungaji?Geita ndio wanashuka hivyo
Mchezaji anaitwa Mandoza.Nani kafunga?
Weka basi takwimu za Simba kukuvuruga 😜Hahaha mtani mimi mbona nipo, wewe ndio umepotea Hata kwenye nyuzi za yanga siku hizi sikuoni, yani simba inanivuruga mtani acha tu 😀😀
Kama siyo Fei Toto sawa tu mpendwa! Safi sana! 😁😁😁🤸♀️🤸♀️🤸♀️Mchezaji anaitwa Mandoza.
Aahh tukiendelea na Viongozi hawa tusahau tu mtani, yani sisi leo ni wa kusubiri geita atuokoe kweli, tumeshindwa kushinda mechi zetu tunategemea timu nyingine ndio iamue mustakabali wetu 😢😢Pole sana Mtani.
Natumai msimu wa 2024/2025 mtakuja mkiwa wapya. 😅
Kamati ya roho mbaya tunafatilia kwa karibuKama siyo Fei Toto sawa tu mpendwa! Safi sana! 😁😁😁🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Nani kafungaaFei huyu
FeiNani kafungaa
😂kombe la luzaaaaaa linawahusu sijui nalo litakuwa mwakaroboHapa lengo letu Makolo wacheze lile kombe waliloliitaga la looser. 😂