Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
π π πKama siyo Fei Toto sawa tu mpendwa! Safi sana! ππππ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π πKama siyo Fei Toto sawa tu mpendwa! Safi sana! ππππ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Aziz ana 3 kule. πFei huyu
Kuna watu watalia π«‘Aziz ana 3 kule. π
Aziz naye kaweka
Kabisaa. πKuna watu watalia π«‘
Aziz kafunga ligi kwa hat trick! Mhasibu ataleta balance sheet baadayeAziz naye kaweka
Kwa namna mambo yanaenda kwao si ajabu wakaishia chini chini tu huko. ππkombe la luzaaaaaa linawahusu sijui nalo litakuwa mwakarobo
ππKwa namna mambo yanaenda kwao si ajabu wakaishia chini chini tu huko. π
Ha ha ha mhasibu alishajilaumu Kwa kauli yakeAziz kafunga ligi kwa hat trick! Mhasibu ataleta balance sheet baadaye
Duuh...! Mna kazi nyingi. ZoteTunaomba fei toto afunge magoli ila azam isishinde
Mmetia huruma. Na Azam kakomaa. Hamna undugu tenaAahh tukiendelea na Viongozi hawa tusahau tu mtani, yani sisi leo ni wa kusubiri geita atuokoe kweli, tumeshindwa kushinda mechi zetu tunategemea timu nyingine ndio iamue mustakabali wetu π’π’
Muhasibu atakua wa kwanza.Kabisaa. π
Watu washatia maguu kwenye uzi wake kule. ππMuhasibu atakua wa kwanza.