Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gor wapuuzi....wewe hao gaints wa africa wanauzoefu wa kutosha. Wee kama huna timu huna timu tuu ata umuombe mungu hamna kituHawa fitna za kusini mwa jangwa la Sahara wameshazoea ni Dar TU ndio ngumu kwao
Team nzima inacheza na jukwaaGor wapuuzi....wewe hao gaints wa africa wanauzoefu wa kutosha. Wee kama huna timu huna timu tuu ata umuombe mungu hamna kitu
Huwa wanabadilika hao....Kwa ninacho kiona hapa yanga washindwe wenyewe kuinua kwapa msimu huu
Then hao mafarao hawana pigo za kufunga magoli mengi.Gor wapuuzi....wewe hao gaints wa africa wanauzoefu wa kutosha. Wee kama huna timu huna timu tuu ata umuombe mungu hamna kitu
Kuongea TU msimu huu naona wako Bora zaidiHuwa wanabadilika hao....
Gormahia wanaubonda sio wabovu ila uzoefu tu ndio wamezidiwaKwa ninacho kiona hapa yanga washindwe wenyewe kuinua kwapa msimu huu
Yah hata game one Yao wakicheza vizuri sana japo huwa ni wazuri nyumbaniGormahia wanaubonda sio wabovu ila uzoefu tu ndio wamezidiwa
Al Ahly huwa wanacheza kwa malengo sio kuangaika kutafuta magoli sijui 4 au 5, magoli yakitokea watafunga ila wao wanaangalia mpango kazi wao waliokujia nao.Huwa wanabadilika hao....
Wakavue UDAGA....Ni kipindi cha kwanza, Gor Mahia yupo nyumbani mpaka sasa ameshalowa goli mbili, game ni tamu ipo mubashara Azam sports 2HD
🤣Al Ahly huwa wanacheza kwa malengo sio kuangaika kutafuta magoli sijui 4 au 5 magoli yakitokea watafunga ila wao wanaangalia mpango kazi wao waliokujia nao.
🤣🤣🤣3 naona hata mtangazaji anaipenda Ahly