FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani.

Snapinsta.app_458927252_1078874097571796_1573249824820006234_n_1080.jpg

Snapinsta.app_459162971_18462495904047601_426558357004011639_n_1080.jpg
Dakika,11 milango bado ni migumu kwa timu zote hadi sasa. Licha timu zote mbili zikioneka kushambuliana

Dakika, 20 ngoma bado ngumu timu zote zinashambuliana kwa zamu

Dakika, 30 mechi imekuwa ya kasi sana lakini si Guinea wala Taifa Stars aliyepata goli.

Dakika, 40 Taifa Stars wamekuwa na utulivu katika kukaba ili bado utulivu eneo la mwisho unakosekana

Dakika 45 za kipindi cha kwanza Guinea 0- 0 Taifa Stars

Kipindi cha pili kimenza....
 
Huko tulinde tu na kutumia counter attack , mabeki 5, Nondo,Job, Tshabalala, Baka na Mwaikenda , tukifunguka tumeliwa kichwa.

Uwezo wa kushindana na Guinea hatuna kama Ethiopia tu tuliwashindwa.

Hawa makocha wa ndondo wa tff ya hovyo washatucost hadi sasa, hii Afcon tukitoboa ni bahati tu timu uwezo haina.
 
Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani.

Wangeshukia hata airport. Huko walikoshuka sijui naona itakuwa mbali na uwanja. Kwanini wasingesogea hata getini kwa bus. Huko Dimbani ni mbali sana.
 
Points 3 ni zetu endapo kocha atafanyia kazi mapungufu mechi iliyopita
 
Back
Top Bottom