Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Manula anapoteza muda bila sababu as if wamefuata sareZaidi Simba wanapiga back pasi[emoji16][emoji16][emoji16]
229Dstv ni channel ipi maana hapa azam naona maruwe
Guvu moya 😀Goooooollllllllllll............baleke offsides[emoji16][emoji16]
Baki zinacheza utumbo sana leo, Kapombe na Onyango hawapo kabisa mchazoni.Mabeki wanazembea tunapigwa goli kwa kichwa huru (free header)
Mikia ndiyo wamepanic,ipo 50/50 kabisaGame iko wazi kabisaaa
Ilikuwa ni game plan, Simba wameanza kwa kuwaheshimu sana wapinzani wao, taratibu things will change ..NB: DK YA 20 SIMBWA .....HAWAJAPIGA SHOOT LOLOTE KWA WAPINZANI[emoji16][emoji16][emoji16]
Mi nilitegemea kuona mechi ngumu lakini imekuwa tofautiImejaa hofu tu..
Kwa timu zinazojua kutumia mipira ya kutengwa na kona ni advantage kwao hasa wakiwa wanajua kutumia urefu wao.Sio kigezo sana ila ujinga wetu wakuludisha kila mpira nyuma ndio unatuponza..
Ya msimbaziTimu ya wapi hii
Za siku mtaneee....😍😍Vyura mnatupigia kelele mechi bado sana
Wacha tupambaneSimba wanapelekewa moto 🤣🤣
Sangoma okoa wenzio hukoKwahiyo wamesimama tu hawachezi?
Usitupangie, unataka tuwaombee wachukue CAF unadhani huku mtaani kutakalika? Si watatupunguzia miaka ya kuishi walivyo na midomoLinapokuja suala la hizi timu zetu kuiwakilisha nchi ningeomba sisi mashabiki tuungane kuzishabikia tuweke kando ukolo na utopolo wetu.
Mimi ni mwananchi kindakindaki naweka kando utopolo naisaport Simba mtani wetu rarua hao holoya kama tunavyokuchakazaga huku.
Nzuri mtaneee 😆Za siku mtaneee....😍😍