Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu za Tz hazijui kuzuia Kona na faulo karibu na goliHizi kounaaaa hizi kounaaaa hizi kounaa
Mmeshakandwa hukoKumbe Uto unatufuatilia kwa karibu, unajua kona zote tulipo wanaume
Guvu moya 😀Safiii sana makolo yanakelele sana😅😅
Nimesema hapa, kisha baada ya muda kidogo tu mambo yamejipa.Ni lazima tukubali udhaifu wetu kwenye mipira ya kutenga, hatutakiwi kuruhusu kona nyingi golini kwetu wala faulo karibu na eneo letu la hatari.
Lakini kwa ujinga ninauona leo kwa hawa mabeki wetu (hasa Onyango na Kapombe), muda sio mrefu tutawaka.
Simba inafungwa goli la kijingaa... Hovyo kabisaa ..Ni msimu mwingine wa Ligi ya Mabingwa Africa. Leo hapa nyumbani Tanzania ni sikukuu kwa wapenda kandanda hasa soka la kuvutia, Samba Loketo.
Wawakilishi wa Tanzania, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC leo majira ya saa 1:00 usiku atashuka dimbani huko nchini Guinea, kuchuana na Horoya AC katika dimba la Stade General Lansana Conte.
Simba ambao wamejizolea umaarufu linapokuja suala la mechi za kimataifa, wamekuwa wakifanya vizuri sana watashuka dimbani wakiwa na lengo la kupata matokeo mazuri hasa baada ya vinara wa kundi lao Raja kuibomoa Vipers 5-0 katika mchezo uliopigwa jana usiku.
Simba itawakosa baadhi ya wachezaji kama Jonas Mkude, Augustine Okrah, Saido Ntibazonkiza ambao wamebaki nyumbani Tanzania kutokana na sababu mbalimbali.
Mchezo utakuwa mubashara kupitia ZBC2 katika Kisimbuzi cha AzamTv na Chaneli 229 katika kisimbuzi cha DStv.
Karibuni sana kwa live updates...kila la heri kwa mnyama mkubwa mwituni
View attachment 2513148
Niko poa Mama...Niko poa beshte huonekani humu..
Nimekuita sana game za hapo nyuma
Uko poa lakini
🤣🤣🤣Mmeshakandwa huko
Yamesahau nayo yanasubiriwaMauto sasa yanvyotype kwa kukimbizana
Usijali litarudiNiko poa Mama...
Sikuona jamani...Ahsante na Pole kipenzi...
Leo nipo live kabisa....
Ila ndiyo hivyo...Kimoja tayari..