Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Horoya ikija kwa Mkapa itapigwa mabao mengiOnyango katuweka mchezoni
Uko sahihiHoroya ikija kwa Mkapa itapigwa mabao mengi
Uchezaji wao haunishawishi kabisa kuwa wao ni bora
Hii ni ligi ya mabingwa... iliyoishinda UtoMAKOLO NI MWENDO TU WA BACK PAS[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mbona kama una hasira? Kwani mpaka muda huu mnaongoza?Vyura wa JF wana tabia za kufanana na vyura wa matopeni, wote huwa hawaonekani mpaka mvua inyeshe, hawa huku wakisikia Simba Sc kafungwa wanaibuka ...
Ndo kinachohitajika hicho, me namuona ni player mzuri kwenye kukaba na kumiliki.Sawadogo anatumia sana nguvu
Tumeshababuka ngozi moja huko bado ngozi mbili ili ziwe TATUPambaneni na nyie Nyoka huko kwa waarabu msije babuka ngozi kwa baridi
🤣🤣🤣Tuseme inshallahWe Uto Chukwu emeka hebu pumzika kesho utalouwaaaaa
Hii ligi iliwashinda ... Bora mkae kimya Uto.Mbona kama una hasira? Kwani mpaka muda huu mnaongoza?
AiseeeeRobertinho anatibiwa kule. Pressure imepanda
Hasira ya nini wakati game iko well managed, stay at 1-0, then wakipoteza concentration kwa uchovu tuanze kuwatafuta kwa counter za maana ..Mbona kama una hasira? Kwani mpaka muda huu mnaongoza?
Sijui huwa anayeamua ni naniKwanini game za mkapa haijawahi kuminya nafasi za mashabiki kiasi hiki?