FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Hasira ya nini wakati game iko well managed, stay at 1-0, then wakipoteza concentration kwa uchovu tuanze kuwatafuta kwa counter za maana ..

Haya mambo uto hamuwezi kuyajua kabisaa, kajifunzeni kwanza kuandika terms za mikataba yenu na wachezaji, na mdhamini, kesi kila siku mnatuchosha ..
Maneno mengi! Mwisho wa siku mkiani mwa kundi, kunawahusu.
 
IMG_1201.jpg

Rais wao ni Tall, huko ndio asili ya akina pogba, ndio maana vichezaji vya simba wanaviangalia kama vitoto vya shule za chekechea havina afya, hao wanakula fufu na samaki lazima wawe na afya
 
Back
Top Bottom