Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Nawakumbusha tu
Nyie mnaowasema vipers ni vibonde
Nyie mnaowasema vipers ni vibonde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linapokuja suala la hizi timu zetu kuiwakilisha nchi ningeomba sisi mashabiki tuungane kuzishabikia tuweke kando ukolo na utopolo wetu.
Kama Taifa stars haiwaunganishi ndio sembuse hivi vilabu? Unamdanganya nani? Unajidanganya nafsi yako.Linapokuja suala la hizi timu zetu kuiwakilisha nchi ningeomba sisi mashabiki tuungane kuzishabikia tuweke kando ukolo na utopolo wetu.
Mimi ni mwananchi kindakindaki naweka kando utopolo naisaport Simba mtani wetu rarua hao holoya kama tunavyokuchakazaga huku.
Mungu ibariki SIMBA yetu ifanye vizuri huko ilikoNi msimu mwingine wa Ligi ya Mabingwa Africa. Leo hapa nyumbani Tanzania ni sikukuu kwa wapenda kandanda hasa soka la kuvutia, Samba Loketo.
Wawakilishi wa Tanzania, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC leo majira ya saa 1:00 usiku atashuka dimbani huko nchini Guinea, kuchuana na Horoya AC katika dimba la Stade General Lansana Conte.
Simba ambao wamejizolea umaarufu linapokuja suala la mechi za kimataifa, wamekuwa wakifanya vizuri sana watashuka dimbani wakiwa na lengo la kupata matokeo mazuri hasa baada ya vinara wa kundi lao Raja kuibomoa Vipers 5-0 katika mchezo uliopigwa jana usiku.
Simba itawakosa baadhi ya wachezaji kama Jonas Mkude, Augustine Okrah, Saido Ntibazonkiza ambao wamebaki nyumbani Tanzania kutokana na sababu mbalimbali.
Mchezo utakuwa mubashara kupitia ZBC2 katika Kisimbuzi cha AzamTv na Chaneli 229 katika kisimbuzi cha DStv.
Karibuni sana kwa live updates...kila la heri kwa mnyama mkubwa mwituni
View attachment 2513148
Hakika Vipers wametembelea nyota ya simba ya mwaka uleee!! Yaani ilikuwa ni khamsa khamsa kwa kwenda mbele.Vipers kawaiga kula gwara uarabuni