FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Nikiwa mpenzi kindakindaki wa Yanga, kwenye match hii nawa support Simba wekundu wa MSIMBAZI. Yanga tuwape support watani zetu
Linapokuja suala la hizi timu zetu kuiwakilisha nchi ningeomba sisi mashabiki tuungane kuzishabikia tuweke kando ukolo na utopolo wetu.
Mimi ni mwananchi kindakindaki naweka kando utopolo naisaport Simba mtani wetu rarua hao holoya kama tunavyokuchakazaga huku.
 
Kama Taifa stars haiwaunganishi ndio sembuse hivi vilabu? Unamdanganya nani? Unajidanganya nafsi yako.

Huko mitandaoni Haji Mañara na huyu boya msemaji wa Simba ndio wanazidi kutia petrol kwenye moto.

Huko mitandaoni msemaji wa Simba anatumia muda mwingi kuisema Yanga, huku Haji Manara akionekana dhahiri ana kisasi na timu yake ya Simba.

At least Ally Kamwe ni bwana Mdogo lakini is far better kuliko haya matutusa mawili ya Simba Haji Manara na Ahmed Ally.
 
Mungu ibariki SIMBA yetu ifanye vizuri huko iliko
 
Hii mechi makolo kama hamjapigwa goli 3 au zaidi basi nipo hapa
 
Hii game natamani simba aanze kufungwa goli moja ili afunguke na kushinda za kutosha. Akianza kufunga simba atabweteka kutazamia droo
 
Kila la kheri Simba.
Leo tutawafundisha namna ya kucheza hizi game za CAF kwenye group stage.
Amin msiami Mnyama atamtafuna Horoya AC hapo hapo.👊

Stade du 28 Septembre​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…