FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Ohooooo Manula kasevu kishujaa
Ni lazima tukubali udhaifu wetu kwenye mipira ya kutenga, hatutakiwi kuruhusu kona nyingi golini kwetu wala faulo karibu na eneo letu la hatari.

Lakini kwa ujinga ninauona leo kwa hawa mabeki wetu (hasa Onyango na Kapombe), muda sio mrefu tutawaka.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† tayari uko fimbo za Moto zimeanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…