Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba hawana hesabu yoyote. Mwisho wa kundi unawahusuHesabu ya Simba Iwe hivi
Droo na Horoya Kwake shinda Kwa Mkapa point 4
Mfunge Vipers Home and Away point 6
Casablanca achane naye Jumla Point 10
Tunafuzu
Uzalendo wa kinafiki,hatutakiKesho mkiwa uwanjani nisisikie habari za Uzalendo
Yaani utopolo msiojua hata michuano gani mnashiriki ndio wa kumfahamisha Manula aliyecheza CAF miaka nenda rudi kwamba hii sio knock out stage?Manula anadhani ni knock out stage,anapoteza muda tu, kumbe ni kuhesabu points
Unashindaje kwa timu hii hata kupiga shuti golini dakika 50 huweziHesabu ya Simba Iwe hivi
Droo na Horoya Kwake shinda Kwa Mkapa point 4
Mfunge Vipers Home and Away point 6
Casablanca achane naye Jumla Point 10
Tunafuzu
Ulitaka awe anafungwa tofauti tofauti?Manula Magoli anafungwa Yale Yale
Unahitaji draw na nani Simba wameshakalia kitu chenye ncha kali ambacho joto likizidi kinatema uji.Sure. Hii Mechi Tunahitaji Draw tuuu.
Povu kama lote mshachafukwa [emoji28][emoji28]Yaani utopolo msiojua hata michuano gani mnashiriki ndio wa kumfahamisha Manula aliyecheza CAF miaka nenda rudi kwamba hii sio knock out stage?
Angekuwa anajua hilo asingekuwa anapoteza muda first halfYaani utopolo msiojua hata michuano gani mnashiriki ndio wa kumfahamisha Manula aliyecheza CAF miaka nenda rudi kwamba hii sio knock out stage?