FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Huyu namba 26 tulipewa angalizo mapema kuhusu uwezo wake wa kupiga mipira ya kutenga
 
Ila wakuu Bocco kaisha aiseeh, hata kama ni offside mmeona alivyokuwa anageuka na huo mpira?[emoji23]

Sijui kama tutachomoka leo.
Boco kama boko la wali kaisha ila sijui wanampendeaga nini hawa makocha, hapo Mgunda kamdanganya mzungu aingie kwa kigezo cha ufather na uzoefu wa mashindano
 
IMG-20230211-WA0024.jpg
 
Back
Top Bottom